Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,879
- 2,554
That's businessHivi simba na azam mfadhili mmoja?maana simba wanakaa hotel ya bakhresa ....hakuna mgongano wa kimaslai
That's businessHivi simba na azam mfadhili mmoja?maana simba wanakaa hotel ya bakhresa ....hakuna mgongano wa kimaslai
Utameza kauli zako mkuuMikia ikimfunga yanga nakata korodani zangu palepale taifa
Haiwez kuwa leo,goli lazima simba afungwe.Mechi itakuwa suluhu bila shaka.
notedNa Mie nitatembea aza uchi Mwezi Mzima Yanga ikiifunga Simba
Mpira umekwisha..tena tukiwa pungufu yanga kakaaaa...ushavua?Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
UKo wapii tuko tayari na kameraKwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Boss VP wapi upoKwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Tembea sasa uchi na picha uweke.Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.