GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Nmesikitika sana na tabia za kipuuzi na kijinga walizoonesha wanayanga.huu ni ubwege. Manji hataki kuwa mwenyekiti.nyie wanaume mnawezaje lazimisha kuwa ninyi bado mnamtambua na mnalazimisha?
Nyie mna akili kweli?njaa hii njaa gani?nyie ndo nmeona mnasababisha kuwe na wanaume siyo riziki.kweli huu siyo uriziki na utimamu wa kiume. Ni sawa na mwanamke ambaye amepewa talaka anasema yeye haondoki hata iweje...analia na kushika miguu abaki hata awe analala uani. Badala ya kukaa na kujipanga mnamlilia manji?nyie mna akili kweli?
Usiamini ya kuambiwa mpaka uone mwenyewe.
Nyie mna akili kweli?njaa hii njaa gani?nyie ndo nmeona mnasababisha kuwe na wanaume siyo riziki.kweli huu siyo uriziki na utimamu wa kiume. Ni sawa na mwanamke ambaye amepewa talaka anasema yeye haondoki hata iweje...analia na kushika miguu abaki hata awe analala uani. Badala ya kukaa na kujipanga mnamlilia manji?nyie mna akili kweli?
Usiamini ya kuambiwa mpaka uone mwenyewe.