kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Naona mnacheza rafu nyingi na refa hawapi kadi.Matokeo yake mnasababisha wageni wawe na hasira na kupelekea mmoja kupewa kadi mbili za njano.
Hivi mnampango wa kupima wachezaji wenu kweli?
Hivi mnampango wa kupima wachezaji wenu kweli?