Yanga dhidi ya Simba, ukweli lazima usemwe

Hata Mimi nilikuwa na matumaini makubwa na Yanga yetu lakini nilivyo iona hakuna kitu pale Yanga inasalia kuwa ya kawaida sana. Simba atachukua mara ya tatu mfululizo.
 
Hiyo branding unayozungumzia ni nini hasa???
Hemed Suya.

Kwanza nianze kwa kuwasalimu, na kuwatakia Eid l-Adh-ha Mubaarak jamii yote ya wapenda soka.

Jion hii nalazimika kushika kalamu kuandika baada ya kumaliza mialiko ya nyama kutoka sehemu mbali mbali na sasa nikiwa nimeshiba vyema naukumbuka mjadala unaoendelea mitandanoni kumhusu Dismas Ten nami nalazimika kuweka machache sana kumhusu.

1. Ten analaumiwa kwa kushindwa kuwahamasisha wanayanga kwenda uwanjan kushangilia mechi yao dhid ya Township Rollers, Ten analaumiwa eti hafanyi kama Manara kuhamasisha watu kujaa uwanjani! Katika hili wanamuonea Ten si kweli.

2. Sio kweli kwamba Haji Manara ndio chachu ya mashabiki wa Simba kujaa uwanjani, hapa nitauliza swali dogo sana, hv Haji kaanza kazi Simba msimu uliopita? Kama kaanza kazi Simba siku nyingi kwa nn watu walikuwa hawajai huko nyuma mpaka msimu uliopita?

Swali lingine, Simba wakati wanafunagwa goli 5 na Al Ahly Manara aligombana na mashabiki wa Simba kias ambacho Haji hakuhusika kabisa ku promote game ya marudiano.

Na ile game bado Simba walijaza sana uwanja, kama kweli Simba huwa wanajaza kwa sabb ya Haji mbona uwanja ulijaa licha ya Haji kutoi promote hyo game?

3. Hapa utagundua sio kweli kinachofanya Simba wajae uwanjani ni Haji. Licha ya yy mwenyewe Haji kujisifu kwa hiki lkn sio kweli kwamba anastahiki sifa hizi kwa sababu Haji alianza kazi tangu 2014 lakini Simba haina miaka miwili kuanza kujaza uwanja, pia game ya Ahly hakupiga promo na bado uwanja ulitapika. Hapa kipo kitu cha ziada kinachofanya Simba waende uwanjan na ni kikubwa kuliko kelele za Haji. Ni nn hiko?

4. Ni matokeo bora na mpira mzuri unaoonyeshwa na team ya Simba ambayo ni matokeo ya awali ya uwekezaji ndani ya klabu hii. Mashabiki wana hamasa na hamu ya kuiona team yao na wakienda uwanjani wanakutana na team kweli yenye kucheza mpira mzuri na kuwapa matokeo. Kitu kinachowaongezea hamasa.

5. Kwa Yanga week ya Mwananchi ilikuwa na hamasa kubwa sana sana kias kilichopelekea mashabiki wengi sana uwanjan kuwah kutokea.

Lakini walichokiona kiuchezaji kuhusu team yao bado sio kwa kiwango kikubwa walichokitarajia hasa baada ya kuwa na iman mwaka huu wana team bora sana. Kiwango walichokiona hakikutosha kuwahamasisha wajae uwanjan ten kwenye mechi ya klabu Bingwa dhid ya Township Rollers.

6. Lazima yanga wakubali fact kwamba kwa sasa Simba wamewazid kwa hatua kubwa sana hasa kwenye branding ya team yao. Ni kweli kwamba yanga ni wa pili baada ya Simba, ni ukweli kwamba Unapoitaja Simba basi mwenzake unayeweza kumtaja lazima awe yanga, Ila kiuhalisia kuna gap kubwa sana kwa sasa baina ya Simba na Yanga
Simba wamefanikiwa kwenye Branding, na Brand yao inaendelea kukua kwa kasi siku baad ya siku. Yanga bado wako nyuma sana, ni Hii brand ya Simba inayowahamasisha mashabiki wao kujaa uwanjan. Anachokifanya Haji ni kitu kidogo kama Sugar coating au Sugar icing kwenye cake iliyo tayari.

7. Kwa hiki kinachoendelea leo Pale yanga ni kumuonea tu Dismas Ten, wala sio kosa lake hata afanye kama Haji wala yanga hawatojaa, na ukitaka kuamini Ten wa swap nafas yake na Haji uone kama Ten hatajaza watu Simba na Haji akashindwa kujaza kule kwa yanga. Ni lazima yanga watafte mwekezaji atayeweka hela ya kutosha kwenye team yao, akasaidia kukuza zaid brand ya klabu yao na kazi ya kujaza uwanja itakuwa kama kumsukuma mlevi tu.
[/QUOTE

Hii branding unayoizungumzia hapa ni nini hasa??? Simba wamefanya nini kuhusu hiyo branding...na Yanga wako nyuma kivipi kuhusu hiyo branding?
 
Mashabiki wa simba na yanga Wengi matahira very low iq

Unakuta watu asubuhi wanabishana simba na yanga kazi hayafanyi yapo yapo tu

Mtu anaenda uwanjani saa tano asubuhi anaacha kazi zake za msingi

I have been there sijawahi kuona mashabiki washamba km wa simba na yanga

Manchester United ac millan Barcelona kila weekend inajaza mashabiki

Sijui hata msemaji au mmliki wa hizo timu tofauti na huku Tanzania Yule mhindi wa simba kila siku anauza sura
 
Kama timu inacheza Mpira wa kuvutia na kupata matokeo hata kama hakuna promo watu watajaa tu uwanjani , watu wanapoacha kwenda uwanjani siyo kwamba hawafuatilii timu yao , huwa wanafuatilia kimya kimya wakiogopa kwenda uwanjani kwa kuwa hawana uhakika wa kupata matokeo Mara kwa Mara.
Kwanza punguza chuki kwa H.Manara mkuu..
Matokeo ndio huleta watu uwanjani.. Je Yanga na kubeba ubingwa X3 mfululizo bila huruma ya bosi Manji walikuwa hawajai uwanjani.
Ten wanamuonea japo wabongo tumezoea kubustiwa utafikiri hatujui kinachoendelea... Lakini timu kama Yanga wakihitaji promo ya D10 basi watafute mtu mwingine Ten apewe kazi nyingine.
Kweli uwekezaji una hamasa yake lakin hata Haji ana nafasi yake katika hamasa hiyo.
TUNAPENDA KUSUKUMWA KAMA WATOTO NA TUMEZOEA HIVYO.
 
Kama timu inacheza Mpira wa kuvutia na kupata matokeo hata kama hakuna promo watu watajaa tu uwanjani , watu wanapoacha kwenda uwanjani siyo kwamba hawafuatilii timu yao , huwa wanafuatilia kimya kimya wakiogopa kwenda uwanjani kwa kuwa hawana uhakika wa kupata matokeo Mara kwa Mara.
👍
 
Mashabiki wa simba na yanga Wengi matahira very low iq

Unakuta watu asubuhi wanabishana simba na yanga kazi hayafanyi yapo yapo tu

Mtu anaenda uwanjani saa tano asubuhi anaacha kazi zake za msingi

I have been there sijawahi kuona mashabiki washamba km wa simba na yanga

Manchester United ac millan Barcelona kila weekend inajaza mashabiki

Sijui hata msemaji au mmliki wa hizo timu tofauti na huku Tanzania Yule mhindi wa simba kila siku anauza sura
We Mzee, unaishi bongo au unaisho huko Milan,Barcelona na Manchester??We unadhani huko ulaya mashabiki wa timu hizo wanamsikia au kumjua Haji Manara??Kutokuwasikia au kutokuwajua wasemaji wa timu hizo usidhani huko kwao hawawasikii au hawapo au hawasikiki,wenyewe huko wanawajua vizuri tu na wanawafuatilia vizuri tu kwa habari za uhakika za timu zao hususani wakati wa usajili.Tofauti iliyopo Style ya Usemaji wa Haji Manara kamix ya kizungu na ya kizaramo!!bhaaaas
 
Kama timu inacheza Mpira wa kuvutia na kupata matokeo hata kama hakuna promo watu watajaa tu uwanjani , watu wanapoacha kwenda uwanjani siyo kwamba hawafuatilii timu yao , huwa wanafuatilia kimya kimya wakiogopa kwenda uwanjani kwa kuwa hawana uhakika wa kupata matokeo Mara kwa Mara.
Kweli.. hatuna tabia ya kwenda uwanjani kwa wingi hadi kuwepo na tukio fulani
 
Mashabiki wa simba na yanga Wengi matahira very low iq

Unakuta watu asubuhi wanabishana simba na yanga kazi hayafanyi yapo yapo tu

Mtu anaenda uwanjani saa tano asubuhi anaacha kazi zake za msingi

I have been there sijawahi kuona mashabiki washamba km wa simba na yanga

Manchester United ac millan Barcelona kila weekend inajaza mashabiki

Sijui hata msemaji au mmliki wa hizo timu tofauti na huku Tanzania Yule mhindi wa simba kila siku anauza sura
Hao Man U wanamiliki Television za Nini?alafu uchumi wa Ulaya unafananisha vipi na wa kwetu..
 
Hemed Suya.

Kwanza nianze kwa kuwasalimu, na kuwatakia Eid l-Adh-ha Mubaarak jamii yote ya wapenda soka.

Jion hii nalazimika kushika kalamu kuandika baada ya kumaliza mialiko ya nyama kutoka sehemu mbali mbali na sasa nikiwa nimeshiba vyema naukumbuka mjadala unaoendelea mitandanoni kumhusu Dismas Ten nami nalazimika kuweka machache sana kumhusu.

1. Ten analaumiwa kwa kushindwa kuwahamasisha wanayanga kwenda uwanjan kushangilia mechi yao dhid ya Township Rollers, Ten analaumiwa eti hafanyi kama Manara kuhamasisha watu kujaa uwanjani! Katika hili wanamuonea Ten si kweli.

2. Sio kweli kwamba Haji Manara ndio chachu ya mashabiki wa Simba kujaa uwanjani, hapa nitauliza swali dogo sana, hv Haji kaanza kazi Simba msimu uliopita? Kama kaanza kazi Simba siku nyingi kwa nn watu walikuwa hawajai huko nyuma mpaka msimu uliopita?

Swali lingine, Simba wakati wanafunagwa goli 5 na Al Ahly Manara aligombana na mashabiki wa Simba kias ambacho Haji hakuhusika kabisa ku promote game ya marudiano.

Na ile game bado Simba walijaza sana uwanja, kama kweli Simba huwa wanajaza kwa sabb ya Haji mbona uwanja ulijaa licha ya Haji kutoi promote hyo game?

3. Hapa utagundua sio kweli kinachofanya Simba wajae uwanjani ni Haji. Licha ya yy mwenyewe Haji kujisifu kwa hiki lkn sio kweli kwamba anastahiki sifa hizi kwa sababu Haji alianza kazi tangu 2014 lakini Simba haina miaka miwili kuanza kujaza uwanja, pia game ya Ahly hakupiga promo na bado uwanja ulitapika. Hapa kipo kitu cha ziada kinachofanya Simba waende uwanjan na ni kikubwa kuliko kelele za Haji. Ni nn hiko?

4. Ni matokeo bora na mpira mzuri unaoonyeshwa na team ya Simba ambayo ni matokeo ya awali ya uwekezaji ndani ya klabu hii. Mashabiki wana hamasa na hamu ya kuiona team yao na wakienda uwanjani wanakutana na team kweli yenye kucheza mpira mzuri na kuwapa matokeo. Kitu kinachowaongezea hamasa.

5. Kwa Yanga week ya Mwananchi ilikuwa na hamasa kubwa sana sana kias kilichopelekea mashabiki wengi sana uwanjan kuwah kutokea.

Lakini walichokiona kiuchezaji kuhusu team yao bado sio kwa kiwango kikubwa walichokitarajia hasa baada ya kuwa na iman mwaka huu wana team bora sana. Kiwango walichokiona hakikutosha kuwahamasisha wajae uwanjan ten kwenye mechi ya klabu Bingwa dhid ya Township Rollers.

6. Lazima yanga wakubali fact kwamba kwa sasa Simba wamewazid kwa hatua kubwa sana hasa kwenye branding ya team yao. Ni kweli kwamba yanga ni wa pili baada ya Simba, ni ukweli kwamba Unapoitaja Simba basi mwenzake unayeweza kumtaja lazima awe yanga, Ila kiuhalisia kuna gap kubwa sana kwa sasa baina ya Simba na Yanga
Simba wamefanikiwa kwenye Branding, na Brand yao inaendelea kukua kwa kasi siku baad ya siku. Yanga bado wako nyuma sana, ni Hii brand ya Simba inayowahamasisha mashabiki wao kujaa uwanjan. Anachokifanya Haji ni kitu kidogo kama Sugar coating au Sugar icing kwenye cake iliyo tayari.

7. Kwa hiki kinachoendelea leo Pale yanga ni kumuonea tu Dismas Ten, wala sio kosa lake hata afanye kama Haji wala yanga hawatojaa, na ukitaka kuamini Ten wa swap nafas yake na Haji uone kama Ten hatajaza watu Simba na Haji akashindwa kujaza kule kwa yanga. Ni lazima yanga watafte mwekezaji atayeweka hela ya kutosha kwenye team yao, akasaidia kukuza zaid brand ya klabu yao na kazi ya kujaza uwanja itakuwa kama kumsukuma mlevi tu.
Mikia Fc buana.
 
Mashabiki wa simba na yanga Wengi matahira very low iq

Unakuta watu asubuhi wanabishana simba na yanga kazi hayafanyi yapo yapo tu

Mtu anaenda uwanjani saa tano asubuhi anaacha kazi zake za msingi

I have been there sijawahi kuona mashabiki washamba km wa simba na yanga

Manchester United ac millan Barcelona kila weekend inajaza mashabiki

Sijui hata msemaji au mmliki wa hizo timu tofauti na huku Tanzania Yule mhindi wa simba kila siku anauza sura

Hujielewi
 
Mm kila siku huwa nasema km kweli haji mhamasishaji mbona alishindwa kuhamasisha watu kujaa uwanjani tangu 2014 hko? Watu wameanza kujaa Simba hii ya mo uwekezaji mzuri mpira mzuri lazma watu wajae uwanjani tusilete sifa za kijinga kwa hyo mropokaji mashabiki wanapenda matokeo!
Watu hawawezi kujaa ghafla. Hata uwekezaji huwa haulipi siku hiyo hiyo. Sasa kaeni hivyo hivyo, mtakuja kuwa kama Ndanda
 
Back
Top Bottom