Yanga bingwa Kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga Simba SC

Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Hahahaaaa...... hahahaaaa...... Sijawahi kusikia utetezi kama huu tokea niijue Simba enzi za akina Mohamed Kajole na Thuwen Ally!
 
Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Lamine
Kaseke
Yacouba
Yasin
Mwamnyeto
Feisal

Hawa wote wako first 11 ya Yanga na awakuwepo na hapo sijamuweka metacha,shida nyau utelembwe manara kakuaminisheni ujinga sana kiasi mara zote hamjifunzi kutokwenda na matokeo uwanjani
 
Lamine
Kaseke
Yacouba
Yasin
Mwamnyeto
Feisal

Hawa wote wako first 11 ya Yanga na awakuwepo na hapo sijamuweka metacha,shida nyau utelembwe manara kakuaminisheni ujinga sana kiasi mara zote hamjifunzi kutokwenda na matokeo uwanjani
Labda unambie Fei toto ila ao wengine sio.
Forward zenu wote tegemezi mliwachezesha wakati Simba ni MK14 tu na mlimkaba mpaka akakosa oksijen.
 
Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Maneno ya mkosaji haya, kwenye ligi hawakuwepo eeh
 
Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
UNATAFUNWA.
 
Kha!!,,Yanga washamba sijapata kuona,eti wanapita"oya oya'wanashangilia wamechukua ubingwa wa hii ndondo ya mapinduzi!!
Ama kweli ushamba ni mzigo.
 
Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Acha urongo wewe mtoto wa kike kwani leo Hawa hapa chini wamecheza?
Moro
Mwamnyeto
Yasin
Kaseke
Nchimbi
Feitoto
Faridi
Metacha
Kalinyos
Yacouba na wengineo
Hebu tuache ushabiki wa kinafiki, Leo mpira mmeboronga Sana.
 
Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Mnamechi 12 feb sidhani kama mna friendly maech so mapinduzi ilikuwa muhimu sana, kwenye ligi hamtakuta na yanga kabla ya kukutana na as vital
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom