Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 1,366
- 3,225
Shida maneno mengi... Kelele za mapaka tushazizoea huku mitaaniHongereni Yanga kwa kushinda milioni 15 sawa na ng'ombe kumi wa maziwa.
Leo amtolala kwa furaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida maneno mengi... Kelele za mapaka tushazizoea huku mitaaniHongereni Yanga kwa kushinda milioni 15 sawa na ng'ombe kumi wa maziwa.
Leo amtolala kwa furaha.
Hahahaaaa...... hahahaaaa...... Sijawahi kusikia utetezi kama huu tokea niijue Simba enzi za akina Mohamed Kajole na Thuwen Ally!Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Wewe ndio utakuwa mpuuz zaid. Mpe facts tulinganisheMpuuzi wewe
Na nyie c mjitetee km mnaweza huko Africa champion leagueSimba washaanza kujitetea
Kombe la "mapinduzi" wanao la maana.Vichaa hawa
LamineYanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Labda unambie Fei toto ila ao wengine sio.Lamine
Kaseke
Yacouba
Yasin
Mwamnyeto
Feisal
Hawa wote wako first 11 ya Yanga na awakuwepo na hapo sijamuweka metacha,shida nyau utelembwe manara kakuaminisheni ujinga sana kiasi mara zote hamjifunzi kutokwenda na matokeo uwanjani
Maneno ya mkosaji haya, kwenye ligi hawakuwepo eehYanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Hakuna wa kununua mzigo ule.Sarpong ni tatizo, auzwe tu
UNATAFUNWA.Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Kuchukua ubingwa sio ishu,ishu kuchukua ubingwa kwa kumpaku.a utelembweKha!!,,Yanga washamba sijapata kuona,eti wanapita"oya oya'wanashangilia wamechukua ubingwa wa hii ndondo ya mapinduzi!!
Ama kweli ushamba ni mzigo.
Kusindikiza nako ni sifa?Na nyie c mjitetee km mnaweza huko Africa champion league
Viongozi wako wote(mbumbumbu fc) wamesafiri mpk zenji kushuhudia final,nao pia walifata mil15?Hongereni Yanga kwa kushinda milioni 15 sawa na ng'ombe kumi wa maziwa.
Leo amtolala kwa furaha.
Simba hii hii iliyopapaswa na masau?hawa hamna hata mmoja anapata namba kikosi cha simba
Hii ni ya wanawake??SIMBA B..
Acha urongo wewe mtoto wa kike kwani leo Hawa hapa chini wamecheza?Yanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
Mnamechi 12 feb sidhani kama mna friendly maech so mapinduzi ilikuwa muhimu sana, kwenye ligi hamtakuta na yanga kabla ya kukutana na as vitalYanga walikua na wachezaji wao wote tegemezi full ngwamba,wakati Simba mashine muhimu zote azikuwepo.
Chama.
Luis.
Boko.
Shabalala.
Kapombe.
Nyoni.
Wawa.
Bwalya.
Benchi la ufundi la Simba awakutolea macho hii fainali kwasababu mbele kuna big deal zaidi ya hii fainali ya milioni kumi ya mashindano ya visiwani.
MmetobolewaTimu ya yanga inayo patikana jangwaji, Leo imejinyakulia kombe la kimataifa, Na usiku huu, wanakesha Na kufurai kwa kubeba ubigwa huo, mbele ya mbabe wa nyika Simba SC, hongera kwenu utoporo