CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Leo tena yafanya kweli Rwanda baada ya kuichapa police ya Rwanda mabao 2:1
Wafungaji.
Cannavaro na Mwasika.
Wafungaji.
Cannavaro na Mwasika.
....kamba washambuliaji wenu wote ni butu,, au siku hizi Mwasika na Cannavaro wamekuwa ma-foward???Leo tena yafanya kweli Rwanda baada ya kuichapa police ya Rwanda mabao 2:1
Wafungaji.
Cannavaro na Mwasika.
Inaonyesha ni jinsi gani Yanga isivyotegemea maforward.....kamba washambuliaji wenu wote ni butu,, au siku hizi Mwasika na Cannavaro wamekuwa ma-foward???
mbona raha tupu!idadi ya wafungaji imeongezeka,mabeki na mafoward.....kamba washambuliaji wenu wote ni butu,, au siku hizi Mwasika na Cannavaro wamekuwa ma-foward???
Kweli yanga sasa inatisha aisee mpaka mabeki wanafunga lol!Leo tena yafanya kweli Rwanda baada ya kuichapa police ya Rwanda mabao 2:1
Wafungaji.
Cannavaro na Mwasika.
Leo tena yafanya kweli Rwanda baada ya kuichapa police ya Rwanda mabao 2:1
Wafungaji.
Cannavaro na Mwasika.
Fedheha gani hapo? Itifikia hii?
....kamba washambuliaji wenu wote ni butu,, au siku hizi Mwasika na Cannavaro wamekuwa ma-foward???
Fedheha gani hapo? Itifikia hii?
Total matches played: 174
Yanga wins: 79
Simba wins: 73
Drawn: 22
Yanga inaidai Simba mechi 6 (i.e Simba inahitaji mechi 6 kuifikia record hii!!)
Country championship trophies:
Yanga: 23
Simba: 18
Yanga inaidai Simba trophies 5 (Simba inahitaji miaka 5 kuifikia record hii!)
Cecafa championship trophies:
Yanga: 5
Simba: 6
Yanga inadaiwa na Simba trophy 1 (i.e Yanga inahitaji mwaka mmoja TU kuifikia record hii ambayo ni mwaka kesho!)
Ahahahaaa, ahahaaaa!! Ahahahaaaaa!! Heheheeheeee! Sina mbavu kwa utoto uliouweka hapo juu.
Embu check hapa chini uone jinsi ambavyo Simba bado ni chekechea tu kwa Yanga Afrika...