Yanga badilisheni rangi za jezi plz!

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,527
1,405
Umefika wakat yanga tubadili rangi ya jezi zetu kutokana na mwingiliano na rangi na (siasa) ccm,na pia rangi kupoteza mvuto.Wapo watu waliochagua simba kwa sbb ya rang ,na hawakuipenda yanga kwa sbb ya rangi pia.Ikiwa simba walibadili jina sioni ajabu tukibadili rangi ya jezi zetu.Esperance walibadili rangi kuwa njano na nyekundu kutoka blue na nyeusi.nashauri cc tubadili tuwe njano na blue. Mashabiki ni sawa na wateja wa timu,timu inapokuwa na fan wengi na mapato yanaongezeka.YANGA ilikuwa timu yenye washabk wengi tz,lakini nahc sasakuna mabadiliko.
Ukizingtia rangi inahusika katika psycology ya masoko...
 
Pia fanyeni mabadiliko ya logo,hapo fulani wekeni alama inaweza kuwa mnyama fulani kama tembo,mamba nk kama timu za ulaya.Hapo jina la kandambili halitatumika tena badala yake jina la utani litakalotumika ni lile litakalotokana na mnyama atakaekuwepo kwenye logo.HAPO nawashauri awepo ngamia ambae hupatikana jangwani
 
ni wazo zuri sana kubadili rangi na logo kimsingi rangi ya yanga inaboa sana na kuna ushabiki niliusikia mitaaa fulan buguruni kuwa yanga ni ccm niliumia sana kwani niliwaza inamaana wasiowana ccm siyo wana yanga?. Pia logo ibadilike jamani sijui kwann iliwekwa kandambili may be ni kiatu cha jangwani but now tubadilike kwan inashusha heshima like ni kiatu cha choon. nafikiri ushauri wa kumtumia ngamia ni mzuri.
 
Mabadiliko ni ni lazima, shaurianeni mtapata muafaka kuliko kuwa na rangi isiyovutia na inaboa.
 
Umefika wakat yanga tubadili rangi ya jezi zetu,kutokana na mwingiliano na rangi na (siasa) ccm,na pia rangi kupoteza mvuto.Wapo watu waliochagua simba kwa sbb ya rang pia,na hawakuipenda yanga kwa sbb ya rangi.Ikiwa simba walibadili jina sioni ajabu tukibadili rangi.Esperance walibadili rangi kuwa njano na nyekundu kutoka blue na nyeusi.Nashauri cc tubadiki tuvae njano na blue.Kumbuka mashabiki ni sawa na wateja wa timu,timu inapokuwa na fan wengi na mapato yanaongezeka.YANGA ilikuwa timu yenye washabk wengi tz,lakini nahc sasakuna mabadiliko.
Na rangi inahusika katika psycology ya masoko

Katika umri wangu huu sitaki kuamini kuwa wapo watu walichagua kuwa fans wa team fulani ksbb ya rangi,rangi na ushabiki wa team haziingiliani kabisa kwani wapo watu wanashabikia team pasipo hata kuwa na uhakika inavaa rangi gani,mfano mimi kwa team za nje nashabikia Arsenal lkn hata ukiniuliza uzi wao wa away ni upi hata siujui lkn ni Mshabiki mkubwa sana wa hao The Gunners,kwahiyo bwana "Yahoo" achana na mawazo mgando ya ku'mix vitu, jezi ya Yanga ni nyingine na mavazi ya Chama cha Siasa ni mengine,ungeona Yanga wametinga katika mechi fulani na uzi ulioandikwa Chama Cha Mapinduzi hoja yako hii ingekuwa na point tofauti na hapo it's a non sense.
Halafu nataka kukuambia Yanga imepoteza mvuto siyo ksbb wanavaa kijani na njano ya Chama cha siasa kilichopoteza mvuto bali ni ksbb wanavuna matokeo mabovu katika mechi zake,ukiangalia Yanga hiihii ya kijani na njano ndo ilikuwa inajaza uwanja kipindi kile inatoa dozi kwa Red Sea,Bunamwaya na Simba kwenye Kagame na ni hiihii ndani ya jezi zilezile inayoingiza mashabiki wachache kiasi cha kuweza kuwahesabu kwenye mechi za hivi karibuni,hivi mimi niende kiwanjani kuiangalia Yanga inacheza nakaa roho juu dk 90 kusubiri goli la juhudi binafsi za Kiiza la dk ya 91 katika mechi dhidi ya Villa unategemea mechi inayofuata nitakwenda,au nakwenda uwanjani nashuhudia inapigwa 5-0 niende mechi inayofuata kutafuta nini? sina sehemu nyingine ninapoweza kwenda kupata entertinement?
Kwahiyo bwana siku nyingine kabla hujaleta hoja jaribu kwanza kutafakari hoja yako ni ya kichwani au ni ya mat***ni.
Ni haya tu.
 
ni wazo zuri sana kubadili rangi na logo kimsingi rangi ya yanga inaboa sana na kuna ushabiki niliusikia mitaaa fulan buguruni kuwa yanga ni ccm niliumia sana kwani niliwaza inamaana wasiowana ccm siyo wana yanga?. Pia logo ibadilike jamani sijui kwann iliwekwa kandambili may be ni kiatu cha jangwani but now tubadilike kwan inashusha heshima like ni kiatu cha choon. nafikiri ushauri wa kumtumia ngamia ni mzuri.

Gfsonwin,
Umeshawahi kuona logo ya "kandambili" kwenye jezi ya Yanga au official document yeyote ya Club?
"Kandambili" ni alama ya utani inayowakilisha tukio fulani lililowahi kutokea siku za nyuma lkn it's not an official logo.
Mkihitaji kufahamu zaidi nitawaeleza.

Mwanachama mtiifu wa Yanga
Yanga daima mbele,nyuma mwiko!
 
Katika umri wangu huu sitaki kuamini kuwa wapo watu walichagua kuwa fans wa team fulani ksbb ya rangi,rangi na ushabiki wa team haziingiliani kabisa kwani wapo watu wanashabikia team pasipo hata kuwa na uhakika inavaa rangi gani,mfano mimi kwa team za nje nashabikia Arsenal lkn hata ukiniuliza uzi wao wa away ni upi hata siujui lkn ni Mshabiki mkubwa sana wa hao The Gunners,kwahiyo bwana "Yahoo" achana na mawazo mgando ya ku'mix vitu, jezi ya Yanga ni nyingine na mavazi ya Chama cha Siasa ni mengine,ungeona Yanga wametinga katika mechi fulani na uzi ulioandikwa Chama Cha Mapinduzi hoja yako hii ingekuwa na point tofauti na hapo it's a non sense.
Halafu nataka kukuambia Yanga imepoteza mvuto siyo ksbb wanavaa kijani na njano ya Chama cha siasa kilichopoteza mvuto bali ni ksbb wanavuna matokeo mabovu katika mechi zake,ukiangalia Yanga hiihii ya kijani na njano ndo ilikuwa inajaza uwanja kipindi kile inatoa dozi kwa Red Sea,Bunamwaya na Simba kwenye Kagame na ni hiihii ndani ya jezi zilezile inayoingiza mashabiki wachache kiasi cha kuweza kuwahesabu kwenye mechi za hivi karibuni,hivi mimi niende kiwanjani kuiangalia Yanga inacheza nakaa roho juu dk 90 kusubiri goli la juhudi binafsi za Kiiza la dk ya 91 katika mechi dhidi ya Villa unategemea mechi inayofuata nitakwenda,au nakwenda uwanjani nashuhudia inapigwa 5-0 niende mechi inayofuata kutafuta nini? sina sehemu nyingine ninapoweza kwenda kupata entertinement?
Kwahiyo bwana siku nyingine kabla hujaleta hoja jaribu kwanza kutafakari hoja yako ni ya kichwani au ni ya mat***ni.
Ni haya tu.

ucfananishe soka la bongo na ulaya,zingajia timu za ulaya zinabadili rangi mala kwa mala ingawa wanatumia sana nykundu.Lakini bado saikolojia ya rangi hutumika kwenye mambo mengi siku hizi.MFANO kwenye sherehe ya shyroz banji,halima mdee na baazi ya wabunge wa chadema walikataa keki iliyokuwa na rangi za njano na kijani,na kama mdee hakuwa na timu kabla sasa hiv ukimwambia achague timu,atichagua yanga?
 
acha ubishani wa kitoto,stay to the topic

ubishi upo wapi hapo mkuu? Yanga ilianzishwa 1935 na CCM ilianzishwa 1977. Wakati Yanga inaanzishwa rangi zake kuu zilikua ni tatu yaani kijani,njano na nyeusi ingawa ni mara chache rangi hutumika.

Nao CCM walipoanzisha chama wakatumia kijani na njano.

Sasa jaribu kueleza sababu za msingi na sio unalinganisha siasa na michezo.
Mfano ungesema rangi za Yanga zina mkosi kimichezo ningekuelewa but for sure i can't buy what you trying to explain
 
Pia fanyeni mabadiliko ya logo,hapo fulani wekeni alama inaweza kuwa mnyama fulani kama tembo,mamba nk kama timu za ulaya.Hapo jina la kandambili halitatumika tena badala yake jina la utani litakalotumika ni lile litakalotokana na mnyama atakaekuwepo kwenye logo.HAPO nawashauri awepo ngamia ambae hupatikana jangwani

wewe ni mwanayanga gani usiyejua hata logo ya klabu yako inafananaje!...khaaa
 
Hii dhana ya ajabu sana! Kwamba kama kuna kitu au timu au chama hukipendi/hakipendwi na kinatumia rangi fulani basi wengine wasitumie rangi hizo! Ajabu ajabu. Nikuulize mkuu precision nao wabadilishe? Au Yanga tu?
 
Hii dhana ya ajabu sana! Kwamba kama kuna kitu au timu au chama hukipendi/hakipendwi na kinatumia rangi fulani basi wengine wasitumie rangi hizo! Ajabu ajabu. Nikuulize mkuu precision nao wabadilishe? Au Yanga tu?

Precission haitumiwi na walio wengi,hata hivyo wanatumia nyeupe kwa asilimia kubwa!
 
we ndo kilaza wa mwisho, baki huko huko ULIPO, MI NLIHAMA YANGA KWASABABU YA RANGI NA NAJUA TUPO WENGI WA DISAINI YANGU
 
hahaha, rangi ya njano na ya kijani!!! watabadilshaje rangi ya timu, kwani hujui kama ile ni timu ya chama:smile-big:??!! hahaha
 
Kama umetumwa na rage huko huko usituletee matapishi yako hapa.Zungumzia mabadiliko ya uongezi au wachezaji we unazungumzia rangi.Nenda kafuate rangi azam tuachie yanga yetu ebo
 
Nikuulize mkuu precision nao wabadilishe? Au Yanga tu?

mfano hauendani...
Yanga ni organization amabayo ina mashabiki na ndio wadau wakuu, ambao ni kama wamiliki kwa namna moja...
precison ni kampuni ya binafsi na ni kampuni ya kibiashara ambayo utaitumia tu ukiwa una shida inayokupasa ufanye hivyo!
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom