Peter Syekeye
New Member
- Nov 7, 2016
- 4
- 3
Nashindwa kuelewa kwanini yanga inafanya vizuli ligi ya ndani nkimaanisha ligikuu ya vodacom
Endelea utajua kuandika tu ,taratibu ndio mwendo hata mbuyu ulianza kama mchichaNashindwa kuelewa kwanini yanga inafanya vizuli ligi ya ndani nkimaanisha ligikuu ya vodacom
Ni ya kimataifa zaidiNashindwa kuelewa kwanini yanga inafanya vizuli ligi ya ndani nkimaanisha ligikuu ya vodacom
Nyie watoto mkichoka huko Instagram na fesibuku ndio hua mnakuja kuharibu huku JF na vithread vyenu visivyokua na Kichwa wala Miguu!Nashindwa kuelewa kwanini yanga inafanya vizuli ligi ya ndani nkimaanisha ligikuu ya vodacom
TV gani inarusha mechi yetu leo?yanga africa
hahaa mnyama kakulaTarehe 25 Februari si mbali tumle mnyama.
Ulishaliwa una jipya tena, sema sasaTarehe 25 Februari si mbali tumle mnyama.
Namuwaza ZANACO FC sio ndondo teamUlishaliwa una jipya tena, sema sasa
Hahahah, sawa ila kazi unayo kesho.Namuwaza ZANACO FC sio ndondo team