Shut upDakika ya ngapi wamekatiwa maji??
vyura watakufa wakikosa maji jamani mjueee!
umemeza maji??Shut up
amefanyaje mkuu?? wamepenyeza rupia nini mkuu??Ludovic Venance kwa ulichokifanya mungu anakuona aiseeeee
Afadhali kidogoumemeza maji??
Waambie migongo wazi wenzako. Sare tu mnapiga wachezaji,wakifungwa sijui mtawafanya nini?Changeni mlipe mishahara au pigeni magoti jamaa alipe.Kuwapiga kwa kudai haki zao sio ustaarabu.Kupata sare siyo mwisho wa dunia.
tunaomba mjaeee uwanjani mapema kabsa tuje tuwachune bila ganzi!Adui yako muombee njaa,mikia leo wapigwe tu,maana hamna namna
mkuu hebu huu ubuyu uweke wazi kidogo niuelewe!Waambie migongo wazi wenzako. Sare tu mnapiga wachezaji,wakifungwa sijui mtawafanya nini?Changeni mlipe mishahara au pigeni magoti jamaa alipe.Kuwapiga kwa kudai haki zao sio ustaarabu.
Canavaro na Msuva.mkuu hebu huu ubuyu uweke wazi kidogo niuelewe!
wamempiga nani?? kosa nini??