Yanga Afrika lazima tukae chini tujitafakali kwa walichokifanya Simba liwe funzo kwetu

Kwani Yanga haijawahi kuingia kwenye makundi? Au mbwembwe tu , makundi yameshapangwa tutajua ubora wa kikosi Cha Simba,kwenye Ligi ya Tanzania mpaka Sasa timu Bora Ni Yanga kwani haijapoteza mchezo hata mmoja wakati mtani kapigwa michezo 2.
Unathibitisha aichosema mtoa mada.
 
Back
Top Bottom