Yanga acheni mpira wa Magazetini

mwembemdogo

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
2,282
1,251
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga pamoja Na kucheza Mpira kwenye magazeti zaidi Leo wameshindwa Kwa Mara nyingine tena kuutumia vena uwanja wa nyumbani.Yanga Wa kimataifa zaidi wamezidi kuwaonyesha Watanzania kuwa wao Kwa kucheza mpira Na Magazeti ni hatari sana kuliko kucheza uwanjani.Ukisoma magazeti ya Leo utaamini kuwa timu yacGhana itafungwa magoli mengi sana kumbe ni kinyume chake.Yanga , mpiraa ni uwanjani acheni kucheza magazetini
 
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga pamoja Na kucheza Mpira kwenye magazeti zaidi Leo wameshindwa Kwa Mara nyingine tena kuutumia vena uwanja wa nyumbani.Yanga Wa kimataifa zaidi wamezidi kuwaonyesha Watanzania kuwa wao Kwa kucheza mpira Na Magazeti ni hatari sana kuliko kucheza uwanjani.Ukisoma magazeti ya Leo utaamini kuwa timu yacGhana itafungwa magoli mengi sana kumbe ni kinyume chake.Yanga , mpiraa ni uwanjani acheni kucheza magazetini
wenye magazeti huwa wanaandika taarifa za kuvutia wateja kununua magazeti yao.....hata nyie simba mkipata nafac km ya yanga mtaandikwa sana tyu mkuu
 
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga pamoja Na kucheza Mpira kwenye magazeti zaidi Leo wameshindwa Kwa Mara nyingine tena kuutumia vena uwanja wa nyumbani.Yanga Wa kimataifa zaidi wamezidi kuwaonyesha Watanzania kuwa wao Kwa kucheza mpira Na Magazeti ni hatari sana kuliko kucheza uwanjani.Ukisoma magazeti ya Leo utaamini kuwa timu yacGhana itafungwa magoli mengi sana kumbe ni kinyume chake.Yanga , mpiraa ni uwanjani acheni kucheza magazetini

Mkuu Ngoma, Chirwa na Kamusoko leo hawakucheza? Naomba nifahamishe kwani naandika hii post nikiwa huku " maporini " kabisa.
 
Naona jina la Wakimataifa linaendelea kufutika.Uchezeshaji wa mpira Tz unahitaji waamzi sahihi watakao tupatia timu sahihi kwa uwakilishi wenye mafanikio.
 
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga pamoja Na kucheza Mpira kwenye magazeti zaidi Leo wameshindwa Kwa Mara nyingine tena kuutumia vena uwanja wa nyumbani.Yanga Wa kimataifa zaidi wamezidi kuwaonyesha Watanzania kuwa wao Kwa kucheza mpira Na Magazeti ni hatari sana kuliko kucheza uwanjani.Ukisoma magazeti ya Leo utaamini kuwa timu yacGhana itafungwa magoli mengi sana kumbe ni kinyume chake.Yanga , mpiraa ni uwanjani acheni kucheza magazetini
Tunasubiri zamu ya Simba kesho.
 
Ahaahaaa... Timu za tz ili ziwe za kimataifa ziachane na mambo mawili
1. Ziachane na imani za kishirikina, ziamini kuwa mpira ni sayansi inayosomewa kama fani nyingine
2. Ziachane na mpango wa kununua mechi ili zipate ubingwa wa nybani huku zikiwa hazina uwezo wa kufanya vizuri uwanjani
 
Huu mpira wa Tanzania,hata waje makocha wakubwa wote ulimwenguni,hakutakua na jipya.Wachezaji wetu wengi wa vilabu vyetu ni zao la kuzuka;hawakuandaliwa kisayansi kucheza mpira.Na kwa sababu hii,wengi ni wachezaji wanaotayarishwa kwa ajili ya mechi na sio mashindano.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom