ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
- Thread starter
- #81
Kipindi Cha Pili Kimeanza
Kwenye mpira tunachozingatia ni usindi au kupoteza, sasa miaka minne hamna cha maana halafu unakuja kutamba eti mpira mzuri??Utajari nini ikiwa mpira mzuri huwezi imebaki ngekewa na mbereko
Uto wanajulikana tu.HT. Biashara tuko nyuma kwa goli 1, yaani ni 2-1. Kipindi Cha pili tunarudi kwa kasi.
We kolo mwenzangu hivi haujui kuwa mpira ni burudani???Kwenye mpira tuanchozingatia ni usindi au kupoteza, sasa miaka minne hamna cha maana halafu unakuja kutamba eti mpira mzuri??
Mpira mzuri umewapa nini??
Hawanaga malengo hao, mpira mzuri wenyewe wanaojisifia ni dhidi ya akina Ruvu shooting, wakikutana na wakubwa wènzao yanaruka ruka tu.Kwenye mpira tuanchozingatia ni usindi au kupoteza, sasa miaka minne hamna cha maana halafu unakuja kutamba eti mpira mzuri??
Mpira mzuri umewapa nini??
Burudani bila makombe?? Utakuwa na njaa wewe.We kolo mwenzangu hivi haujui kuwa mpira ni burudani???
Subiri mama yenu arudi kutoka Ufaransa mkashitaki, usijali hatuwezi kukuita msaliti tunajua umeongea ukiwa na mwiko ( KASIA ) nyuma.Ukweli lazima usemwe, Paka sasa naona Waamuzi wanaionea Sana Yanga. Niko tayari kuitwa msaliti
Huyo kichwa box mmemjaza ujinga tu, hama lolote analojua kuhusu faulo.Kwani kila faulo lazima apige huyu babu kutoka bujumbura?