njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Ukaichilia team moja tu ambayo kupitia kwa watu wake inaratibu syndicate hii kubwa inayohusisha waandishi takataka lifuatalo ni onyo kwa teams nyingine za bongo zinazoenda kimataifa:
Msithubutu kufanya vizuri hata kidoogo simba ndani ya miaka 3 kaingia robo fainali mara mbili na sasa ni ya 12 kwa ranks za CAF chuki iliyopo kwenye media inatisha kwa sasa.
Namungo alijitahidi kufika makundi walikiona cha moto vipindi vilikuwa dedicated ku discuss hadi mambo ya chumbani kambini kwao huko Chamanzi.
Kwenu Azam na Biashara utd jitahidi mtolewe mapema msije kuwaudhi waandishi takataka wakaanza kuwawekea vikao kwenye mautopolo yao.
*Wanalia machozi ya mamba redioni wakilalamika kuhusu maendeleo ya soka utadhani kama kweli vile wanaitakia mema nchi.. Imenikumbusha ile nyimbo ya Upendo Nkone ukianza safari wanakupa moyo ukionyesha mafanikio vita vinaanza
Msithubutu kufanya vizuri hata kidoogo simba ndani ya miaka 3 kaingia robo fainali mara mbili na sasa ni ya 12 kwa ranks za CAF chuki iliyopo kwenye media inatisha kwa sasa.
Namungo alijitahidi kufika makundi walikiona cha moto vipindi vilikuwa dedicated ku discuss hadi mambo ya chumbani kambini kwao huko Chamanzi.
Kwenu Azam na Biashara utd jitahidi mtolewe mapema msije kuwaudhi waandishi takataka wakaanza kuwawekea vikao kwenye mautopolo yao.
*Wanalia machozi ya mamba redioni wakilalamika kuhusu maendeleo ya soka utadhani kama kweli vile wanaitakia mema nchi.. Imenikumbusha ile nyimbo ya Upendo Nkone ukianza safari wanakupa moyo ukionyesha mafanikio vita vinaanza