- Thread starter
- #21
Kimsingi CCM hajamweka mama pale. Hata ile nafasi ya Makamu wa Rais ilikuwa ya kuzugia tu. Na hawakuwahi kufikiria ipo siku Rais anaweza akafariki akiwa madarakani na Makamu akachukua nchi. Kama hili wangelijua basi Makamu wasingeweka mwanamke. Kudhihirisha nachosema tazama walivyonuna baada ya kuona Samia Katiba imempa nchi.
Wanga wanafiki wakubwa. Kwani wanawake si watu? Mama zao ni wanaume?
Yote tisa, usikivu wa mama. Mama si jiwe!