Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Donald Trump ameamua kujitangaza mshindi wa uchaguzi wa Marekani wakati kura bado zinahesabiwa na ametangaza anenda mahakamani kupinga matokeo.
Kwa taifa ambalo wapinzani kama ACT Wazalendo na CHADEMA huwa wanalitegemea kuwa kioo cha Demokrasia sasa linatia aibu maana kama mtu anakataa matokeo ambayo hata mwisho wa kuhesabu bado, hapa picha inayoonekana ni kutokubali kushindwa kama wapinzani wa Tanzania walivyofanya.
Mpaka sasa Electoral votes ni 238 kwa Joe Bidden huku Trump akiwa na 213.
Jambo la msingi ni kuwa kumbe uchaguzi wa Tanzania ulifanyika kwa uhuru na haki lakini wapinzani hawakubali matokeo. Na pamoja kuwa ni nchi ya Kiafrika tunaanza kukomaa kidemokrasia maana habari kama za Maalim kujitangaza mshindi hatukuziona tena.
Kwa taifa ambalo wapinzani kama ACT Wazalendo na CHADEMA huwa wanalitegemea kuwa kioo cha Demokrasia sasa linatia aibu maana kama mtu anakataa matokeo ambayo hata mwisho wa kuhesabu bado, hapa picha inayoonekana ni kutokubali kushindwa kama wapinzani wa Tanzania walivyofanya.
Mpaka sasa Electoral votes ni 238 kwa Joe Bidden huku Trump akiwa na 213.
Jambo la msingi ni kuwa kumbe uchaguzi wa Tanzania ulifanyika kwa uhuru na haki lakini wapinzani hawakubali matokeo. Na pamoja kuwa ni nchi ya Kiafrika tunaanza kukomaa kidemokrasia maana habari kama za Maalim kujitangaza mshindi hatukuziona tena.