kisasangwe
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 292
- 52
nimepata khabari kwa mkongwe mmoja kasema kua honeymooooon ilikua zamani wakati vijana ni mabikira wote, hivo walikua wanapewa time ya kufurahia maumbile yao.kila mtu akikagua uumbaji wa mungu kwa mwenzie. ila siku hizi ni kauzuuushi tu maana kila kitu huwa kishakaguliwa kabla ya ndoa.