PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,720
Najiuliza swali hili!
Kuna couples zingine hukaa honeymoon kwa wiki 1 hadi 2!
Na katika kipindi hicho nimeshuhudia watu, hadi wachungaji/mapadri wakikataza mtu yeyote kwenda kuatembelea couple husika, kwa hofu ya kuwasumbua!
Ni mambo gani hasa yafanyike na kuongelewa kule honeymoon, ukiachilia mbali kuonyeshana upendo kwa ukaribu??...two weeks!! mmmh!!
Kimsingi, nadhni kuna mambo makuu kadha ambayo mnatakiwa myajadili mkiwa huko. Lakini hii itategemea sana kama mlijuana kwa kipindi gani nyuma, kabla ya kuoana!..
Lakini je, hujawahi kusikia ndoa zinazovunjikia kwenye vyumba vya honeymoon?..Je unadhani couple hizi huwa wamesemezana nini hadi kuchukua maamuzi hayo?
Kuna jamaangu alinambia, namnukuu.."tukiwa honeymoon ndo nitamfahamisha rasmi kwamba nina mtoto wa nje"..!
Mwingine akasema.."wakati huo(honeymoon) ndo nitamjulisha kuhusu madeni niliyokopa ili kufanikisha kumuoa"..huh!
Je huenda mambo hayo ndo moja ya yale muhimu ya kusemezana wakati huu muhimu?...michango yenu tafadhali!
Kuna couples zingine hukaa honeymoon kwa wiki 1 hadi 2!
Na katika kipindi hicho nimeshuhudia watu, hadi wachungaji/mapadri wakikataza mtu yeyote kwenda kuatembelea couple husika, kwa hofu ya kuwasumbua!
Ni mambo gani hasa yafanyike na kuongelewa kule honeymoon, ukiachilia mbali kuonyeshana upendo kwa ukaribu??...two weeks!! mmmh!!
Kimsingi, nadhni kuna mambo makuu kadha ambayo mnatakiwa myajadili mkiwa huko. Lakini hii itategemea sana kama mlijuana kwa kipindi gani nyuma, kabla ya kuoana!..
Lakini je, hujawahi kusikia ndoa zinazovunjikia kwenye vyumba vya honeymoon?..Je unadhani couple hizi huwa wamesemezana nini hadi kuchukua maamuzi hayo?
Kuna jamaangu alinambia, namnukuu.."tukiwa honeymoon ndo nitamfahamisha rasmi kwamba nina mtoto wa nje"..!
Mwingine akasema.."wakati huo(honeymoon) ndo nitamjulisha kuhusu madeni niliyokopa ili kufanikisha kumuoa"..huh!
Je huenda mambo hayo ndo moja ya yale muhimu ya kusemezana wakati huu muhimu?...michango yenu tafadhali!