Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,493
- 86,007
Siandiki haya kwa ushabiki au kwa kufurahia ila naandika ili niwakumbushe kuwa ukatili wa Polisi ukitamalaki basi hakuna aliye salama.
Kuna taarifa kuwa Da Carol Ndosi ameshikiliwa kituo Cha Polisi Oysterbay huku akinyanyaswa na "kushambuliwa" na Askari kwa kile kinachodaiwa na yeye mwenyewe kuwa "kurekodi" video ya ajali.
Carol Ndosi mara nyingi sio zote amekua against na Harakati zozote zile za kupinga haya yanayoendelea nchini, alifikia kipindi hata kudai kuwa Yeye na Polisi ni kitu kimoja.....Leo hii amewekwa Chini ya Ulinzi Tena Kwa vipigo huku akinyimwa dhamana Hadi muda huu.
Tunawataka Polisi Tanzania kumpa dhamana Carol kwa kosa lolote wanalomtuhumu nalo na pia IWE FUNDISHO kwa sisi tunaojiita CCM na Neutral kuwa Hatuko salama, tukemee na kuonya kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi.
Kuna taarifa kuwa Da Carol Ndosi ameshikiliwa kituo Cha Polisi Oysterbay huku akinyanyaswa na "kushambuliwa" na Askari kwa kile kinachodaiwa na yeye mwenyewe kuwa "kurekodi" video ya ajali.
Carol Ndosi mara nyingi sio zote amekua against na Harakati zozote zile za kupinga haya yanayoendelea nchini, alifikia kipindi hata kudai kuwa Yeye na Polisi ni kitu kimoja.....Leo hii amewekwa Chini ya Ulinzi Tena Kwa vipigo huku akinyimwa dhamana Hadi muda huu.
Tunawataka Polisi Tanzania kumpa dhamana Carol kwa kosa lolote wanalomtuhumu nalo na pia IWE FUNDISHO kwa sisi tunaojiita CCM na Neutral kuwa Hatuko salama, tukemee na kuonya kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi.