Yanayojiri Mwanza Mjini: RC, DC na CD hawataweza tena kukalia ofisi zao

Tutaona mengi sana awamu hii. Tatizo la Tanzania ni kukosa strong institutions....tunapataga strong and weak leaders!! Huyu ataondoka Tanzania ikiwa mbaya kuliko alivyotarajia....anahitaji teamwork na taasisi inayosukuma malengo pamoja
 
FM Radio zote za jijini Mwanza sasa hivi ni mjadala wa maamuzi ya Rais na zinawekwa Clip za matamko ya Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya Nyamagana na Mkurugenzi (CD) wa jiji kuhusu suala la wamachinga waliyotoa siku zilizopita kuhusu suala hilo na kuonekana kuwa walikuwa tofauti kabisa na hiki alichosema Rais.

Hata mbunge wa Nyamagana alipohojiwa amepata nafasi ya kuwaruka kabisa viongozi hao kiasi cha kuonyesha maamuzi yao yalikuwa yao pekee kwa nia ya kukomoa Wamachinga na mama ntilie.

Hii ni fedheha kubwa sana kwa wateule hao wa kisiasa na kiutendaji na wanakosa kabisa sifa ya kuendelea kuwaongoza watu wa Mwanza kwa siku zijazo kwani hawawezi tena kuwa na maamuzi ambayo yatakuwa yamesimama bila kudharauliwa.

Je, wataamua wenyewe kujiuzulu ili kulinda heshima zao au watataka waendelee kufanya kazi kama picha tuu? Maana kila anayehojiwa mtaani anawaponda na kuwadharau kuwa kazi imewashinda ndio maana aliyewateua kaamua kuifanya mwenyewe.
Hakuna kitu kigumu kama kufanya kazi na bob! Yale maamuzi hayakupaswa kubatilishwa hata kidogo, ni njia bora kabisa ya kuwapa confidence walioko chini yako
 
HATOWEZA KUWAONDOA kati ya vitu ambavyo.wanaogopa ni ASKALI yaani unapotaja neno askar mbele yao...yupo tayari kukuhonga ata nch... ndo maana ajira nyingi kipaumbele ni haohao...watumishi hewa kote wametafutwa ila makambini thubutu....kwahiyo maRC,DC na wengine msihofu mmepona........Waiter ZUNGUSHAAAAAAAA.....

Mkuu umeandika haraka sana.......sijui unaweza kuandika taratibu nikakuelewa japo kidogo........?......napenda sana habari za machinga wa Mwanza......
 
Sidhani kama kwa desturi ya Africa na wabongo kama kuna mwenye ujasiri wa kusutwa na nafsi akaamua kustep down bali wote wanasali tu wasitumbuliwe na mkuu wao.

Lakini kwa hili walipaswa kushuka chini na kuachia ngazi zao maana bosi ameshapoteza kabisa confidence nao.
Ni kweli mkuu kiafrika ni ngumu ila kwenye uandishi wako neno confidence sins hakika kama umelitumia panapostahili I stand to be corrected
 
Hakuna kitu kigumu kama kufanya kazi na bob! Yale maamuzi hayakupaswa kubatilishwa hata kidogo, ni njia bora kabisa ya kuwapa confidence walioko chini yako
Nikimwangalia RC huyu ambaye siku ile anamwambia Meneja wa Sumatra mbele ya TV kuwa " unapokea mshahara unakula na mkeo na mnapendeza lakini ujue mimi ndio Kidume hapa Mkoani, hanichezei mtu ......." Halafu leo na ukidume wake akipita kwenye kundi la machinga ni misonyo ya hapa na pale na kuzomewa kwa chati.
 
Hakuna kitu kigumu kama kufanya kazi na bob! Yale maamuzi hayakupaswa kubatilishwa hata kidogo, ni njia bora kabisa ya kuwapa confidence walioko chini yako

Wewe ulitaka yule mama awaachie mgambo wapige wale watu.......na alisema hawamjui.......Sasa Leo sijui imekuwaje......?.....hebu niadisie......
 
Nikimwangalia RC huyu ambaye siku ile anamwambia Meneja wa Sumatra mbele ya TV kuwa " unapokea mshahara unakula na mkeo na mnapendeza lakini ujue mimi ndio Kidume hapa Mkoani, hanichezei mtu ......." Halafu leo na ukidume wake akipita kwenye kundi la machinga ni misonyo ya hapa na pale na kuzomewa kwa chati.

Aiseee........Ni yule mama amekuwa kidume au kuna mwingine ni kidume.......?......(au sijui maana ya kidume nini ?.......).......
 
FM Radio zote za jijini Mwanza sasa hivi ni mjadala wa maamuzi ya Rais na zinawekwa Clip za matamko ya Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya Nyamagana na Mkurugenzi (CD) wa jiji kuhusu suala la wamachinga waliyotoa siku zilizopita kuhusu suala hilo na kuonekana kuwa walikuwa tofauti kabisa na hiki alichosema Rais.

Hata mbunge wa Nyamagana alipohojiwa amepata nafasi ya kuwaruka kabisa viongozi hao kiasi cha kuonyesha maamuzi yao yalikuwa yao pekee kwa nia ya kukomoa Wamachinga na mama ntilie.

Hii ni fedheha kubwa sana kwa wateule hao wa kisiasa na kiutendaji na wanakosa kabisa sifa ya kuendelea kuwaongoza watu wa Mwanza kwa siku zijazo kwani hawawezi tena kuwa na maamuzi ambayo yatakuwa yamesimama bila kudharauliwa.

Je, wataamua wenyewe kujiuzulu ili kulinda heshima zao au watataka waendelee kufanya kazi kama picha tuu? Maana kila anayehojiwa mtaani anawaponda na kuwadharau kuwa kazi imewashinda ndio maana aliyewateua kaamua kuifanya mwenyewe.
Kwa katiba yetu kwa kweli ni ngumu kuendelea.

Kwa nchi nyingine mfano South Africa, Rais hawezi kuingilia wala hana nguvu ya kubadilisha maamuzi ya Regional level.Hapa inaelekea Rais amefanya maamuzi kwa maslahi ya kisiasa tu.

Kama Local governments hazitapewa nguvu ya kujipangia na kufanya mipango yao ya maendeleo bila maelekezo toka serikali kuu, narudia tena maendeleo ni ndoto Tanzania!!
 
FM Radio zote za jijini Mwanza sasa hivi ni mjadala wa maamuzi ya Rais na zinawekwa Clip za matamko ya Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya Nyamagana na Mkurugenzi (CD) wa jiji kuhusu suala la wamachinga waliyotoa siku zilizopita kuhusu suala hilo na kuonekana kuwa walikuwa tofauti kabisa na hiki alichosema Rais.

Hata mbunge wa Nyamagana alipohojiwa amepata nafasi ya kuwaruka kabisa viongozi hao kiasi cha kuonyesha maamuzi yao yalikuwa yao pekee kwa nia ya kukomoa Wamachinga na mama ntilie.

Hii ni fedheha kubwa sana kwa wateule hao wa kisiasa na kiutendaji na wanakosa kabisa sifa ya kuendelea kuwaongoza watu wa Mwanza kwa siku zijazo kwani hawawezi tena kuwa na maamuzi ambayo yatakuwa yamesimama bila kudharauliwa.

Je, wataamua wenyewe kujiuzulu ili kulinda heshima zao au watataka waendelee kufanya kazi kama picha tuu? Maana kila anayehojiwa mtaani anawaponda na kuwadharau kuwa kazi imewashinda ndio maana aliyewateua kaamua kuifanya mwenyewe.
Waamue wenyewe kujiuzulu? Thubutu......Hawawezi kufanya hicho kitu. Hawatajaribu.
 
kama mtu ana dignity ya ukweli hapo ni kujiuzulu tu, ni kama yule mke wa Lukuvi alipoachia ngazi baada ya kusimangwa hadharai ila hawa hawana kazi nyingine sijui
Kama watu watakuwa wanajiuzulu kwa dignity hakuna ataebaki maana wengi wanashindwa kujua what is right and what is wrong, wabebaki kama watu wanaetembea kwenye kiza.
 
Tanzania kujiuzulu bila shinikizo la aliyekuteua hakupo. Ni wachache wameweza kufanya hivyo na wanailinda heshima yao. Mfano mzuri Commissioner wa Magereza kuachana na fitina na Vita vya kaskazini akaamua kujiweka kando. Bravo sana comrade John C. Minja.
 
Kwa katiba yetu kwa kweli ni ngumu kuendelea.

Kwa nchi nyingine mfano South Africa, Rais hawezi kuingilia wala hana nguvu ya kubadilisha maamuzi ya Regional level.Hapa inaelekea Rais amefanya maamuzi kwa maslahi ya kisiasa tu.

Kama Local governments hazitapewa nguvu ya kujipangia na kufanya mipango yao ya maendeleo bila maelekezo toka serikali kuu, narudia tena maendeleo ni ndoto Tanzania!!
Mkuu umesema jambo ambalo ni la msingi sana. Usafi wa majiji na miji yetu uko chini ya Local Govt hivyo unasimamiwa maamuzi na utekelezaji na Halmashauri zenyewe chini ya Baraza la madiwani.
Ajabu sasa hivi jambo hili sasa hivi linaingiliwa na Central Govt ndio maana unaona watu kama Makonda nao wanatoa matamko watu wahame sehemu au biashara ifanyike wapi wakati Idara ya mipango miji haipo kabisa chini ya wakuu wa mikoa. Hata Rais hapaswi kuingilia labda kutoa maelekezo pale amani inapo toweka.
 
amenimaliza aliposema watu wanywe hawakutegemewa kuteuliwa, yeye na samia ndio wanajua walivyotembea nchi nzima kuomba kula. Mongela achia tu ngazi ni aibu nakuhakikishia 2017 humalizi unatumbuliwa bora umwahi tu mzee
 
Back
Top Bottom