atoe tamko kmyakmya ili asipate KIKIUkifanya kazi na JPM utegemee sana KADHIA za namna hii.
Haoni shida hata kukugeuka hata kama hilo jambo lilikuwa limekubaliwa collectively na ninyi viongozi wote.
Kwa mfano angeweza kuizuia hii operesheni kwa kutoa maelekezo kimya kimya kwa Waziri au RC na hili Zoezi likasimama bila kuwadharaulisha hawa wateule wake kwa wananchi.
Lakini kaamua tamko alitoe mwenyewe kabisa kupitia kurugenzi yake ya mawasiliano.
Huku ni kutafuta cheap popularity.
Hakuna ambako hajagusa sema askari wananidhamu zao hawawezi kuropoka ila anawaudhi kwa sabaabu nothing is moving kwa mfano mpaka sasa hakuna anayejuwa kutakuwa na sherehe za tarehe tisa huku askari wako kwenye gwaride kwa kupenda sifa wa Magufuli kama amiri jeshi mkuu amefikia hata hasikilizi ushauri wa mageneral ,HATOWEZA KUWAONDOA kati ya vitu ambavyo.wanaogopa ni ASKALI yaani unapotaja neno askar mbele yao...yupo tayari kukuhonga ata nch... ndo maana ajira nyingi kipaumbele ni haohao...watumishi hewa kote wametafutwa ila makambini thubutu....kwahiyo maRC,DC na wengine msihofu mmepona........Waiter ZUNGUSHAAAAAAAA.....
Tatizo hapa sio hao Wamachinga kuondoka bali ni hao wateule kusubiriwa wametimiza wajibu wao kisha anakuja kutengua na kusema wamachinga warudi.Lakini hao machinga si walipewa notice? Au
Yani kama mtu una hela zako ni bora ujiuzulu amewaaibisha mno naona wanajuta huko walipo duh ni aibu kubwa angewaambia kimya kimya nao wangejua wafanyaje duh nmewaonea Huruma mnokama mtu ana dignity ya ukweli hapo ni kujiuzulu tu, ni kama yule mke wa Lukuvi alipoachia ngazi baada ya kusimangwa hadharai ila hawa hawana kazi nyingine sijui
Hapa kwa ajili ya aibu msamiati huo utakuwepo. Naziona dalili za magari yao yakipita maeneo ya wamachinga kuzomewa.
Hawa wateule wake wamedhalilishwa mno,yule aliyewakosoa watoto Wa Obama USA, alijiuzulu,hawa waliodhalilishwa na boss wako,wamekataa kuachia ofiv,ngoja waisome namba ya jpmFM Radio zote za jijini Mwanza sasa hivi ni mjadala wa maamuzi ya Rais na zinawekwa Clip za matamko ya Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya Nyamagana na Mkurugenzi (CD) wa jiji kuhusu suala la wamachinga waliyotoa siku zilizopita kuhusu suala hilo na kuonekana kuwa walikuwa tofauti kabisa na hiki alichosema Rais.
Hata mbunge wa Nyamagana alipohojiwa amepata nafasi ya kuwaruka kabisa viongozi hao kiasi cha kuonyesha maamuzi yao yalikuwa yao pekee kwa nia ya kukomoa Wamachinga na mama ntilie.
Hii ni fedheha kubwa sana kwa wateule hao wa kisiasa na kiutendaji na wanakosa kabisa sifa ya kuendelea kuwaongoza watu wa Mwanza kwa siku zijazo kwani hawawezi tena kuwa na maamuzi ambayo yatakuwa yamesimama bila kudharauliwa.
Jee wataamua wenyewe kujiuzulu ili kulinda heshima zao au watataka waendelee kufanya kazi kama picha tuu? Maana kila anayehojiwa mtaani anawaponda na kuwadharau kuwa kazi imewashinda ndio maana aliyewateua kaamua kuifanya mwenyewe.
Kama anawaongoza watu kama ninyi ambao hata kuandika sentensi ni taabu kwanini asipete????Alaf Rais anasemakua Polisi wanatumika vibaya wakati yeye ndo anawatumia,Magufuli ivi wakati mwingine unawekawapi Akiliyako?
mkuu hivi bado hujagundua kuwa the whole thing ni Isidingo tupu? hakuna atakayefukuzwa hapo.FM Radio zote za jijini Mwanza sasa hivi ni mjadala wa maamuzi ya Rais na zinawekwa Clip za matamko ya Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya Nyamagana na Mkurugenzi (CD) wa jiji kuhusu suala la wamachinga waliyotoa siku zilizopita kuhusu suala hilo na kuonekana kuwa walikuwa tofauti kabisa na hiki alichosema Rais.
Hata mbunge wa Nyamagana alipohojiwa amepata nafasi ya kuwaruka kabisa viongozi hao kiasi cha kuonyesha maamuzi yao yalikuwa yao pekee kwa nia ya kukomoa Wamachinga na mama ntilie.
Hii ni fedheha kubwa sana kwa wateule hao wa kisiasa na kiutendaji na wanakosa kabisa sifa ya kuendelea kuwaongoza watu wa Mwanza kwa siku zijazo kwani hawawezi tena kuwa na maamuzi ambayo yatakuwa yamesimama bila kudharauliwa.
Jee wataamua wenyewe kujiuzulu ili kulinda heshima zao au watataka waendelee kufanya kazi kama picha tuu? Maana kila anayehojiwa mtaani anawaponda na kuwadharau kuwa kazi imewashinda ndio maana aliyewateua kaamua kuifanya mwenyewe.