hivi hakuna link ya mtandao inayoweza kutusaidia kufuatilia matangazo ya bunge moja kwa moja kwa njia ya mtandao?
Kuna kipindi ARUSHA MAMBO RADIO walikuwa wanarusha matangazo haya lakini siku hizi hamna kitu
Tafadhali mwenye kujua link ya mtandao inayoweza kutupatia uhondo huu naomba aweke hapa tufuatilie
huyu jamaa ni mtupu sana kichwani aisee, anasema Tanzania wailazimishe Uganda kutumia bandari ya Dar kulipa madeni..
huyu jamaa kweli ni mtupu aisee..
Nahodha kashamuumbua sasa!!
asante sana mkuu ubarikiwe nimeshaanza kusikiliza