Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Baba dhao ni thithi thithi na mama dhao ni thithi!😂😂Za halisi hizi hapa
View attachment 1570661
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba dhao ni thithi thithi na mama dhao ni thithi!😂😂Za halisi hizi hapa
View attachment 1570661
Aisee hii dhihaka haisadii kitu, mtu aliyepaswa kuwa amekufa miaka mitatu iliopita kitendo cha kuwa hai tu ni ushuhuda let alone kutembea.
Siku 60 ataziona Kama mwakaMeco sasa hivi yupo hoooiii
Kwanza huu mziki wa wiki mbili kesha kondaSiku 60 ataziona Kama mwaka
Wewe lazima ulishiriki hili. Lakini wahenga wanasema hujafa hujaumbika. Kwasababu hujafa, usidhani uumbaji wako umekamilika.
Zimwage hapa Mkuudu... ila Tundu Lissu leo katema sumu ya kufa mtu Mbarali aisee.
sumu ni kali sana ile.... du!
Kwani kuna popote nimemkejeli au unaropoka tuAisee hii dhihaka haisadii kitu, mtu aliyepaswa kuwa amekufa miaka mitatu iliopita kitendo cha kuwa hai tu ni ushuhuda let alone kutembea.
Aliyemsaidia huyo unayemkejeli asafirishwe Nairobi ndio amepewa R.I.P na huyo huyo unayemkejeli. Maisha hayana formula kwahiyo usijione upo safe sana
Sijui kwanini nina uzio na watu wanaoandika upumbavu kama wewe.Ukiwa mtu mzima utamgundua mtoto anayepevuka, Karibu sana Tanzania.
Wewe bado ni kijana unayetakiwa kulelewa na kupewa nasaha.Sijui kwanini nina uzio na watu wanaoandika upumbavu kama wewe.
Hizo tungobutu hata watoto wa chekechea hawazisikilizi tena.Niko salama %100 sababu mimi sio msukule wa kibaraka wa mabeberu (yuda iskariote lisu)
Nahene wabheja nke wane Wakudadavua!Huyu jana Njombe wamemkataa.
Wanachokifanya maccm na mgombea wao magufuly huko Kagera ni Child abuse, sijui mashirika ya kutetea haki za watoto yako wapi kukemea unyanyasaji huu unaofanywa na maccm.wanafunzi wapo assembly..
Matumizi mabaya ya wanafunzi
Zimwage hapa Mkuu
Unapost vp picha ya hivyo alafu unasema sio kejeli?Kwani kuna popote nimemkejeli au unaropoka tu