Hapo ni Kazi za kawaida za walinzi wa mgombea urais alipopanda juu ya paa la gari kusalimia waTanzania alipokuwapo Mwanza asije anguka kama video hii inayojibu nini ktk picha yako kilikuwa kinafanyika
15 September 2020
Njombe mjini
Tanzania
PETER MSIGWA ANGURUMA NJOMBE
Katika muendelezo wa kampeni cha uchaguzi mkuu 2020 mjini Njombe leo
Kwani umeeekasirikaaaMbona anarudia Mbeya na Njombe kila siku?Wiki moja na nusu hivi aliwakusanya kwa malori watu wa Njombe ,Mbeya,Songwe.Wakawatambulisha mpaka wabunge.Leoanarudi huko huko.He ,maeneo ya Ruvuma hayaoni?Maeneo ya Kigoma hayaoni?Ameishiwa pumzi huyu.
Jiongo hiloooooooHuyu jana Njombe wamemkataa.
RelaxLissu huko atavuna pressure tu. Angebaki Arusha, Mbeya, Mara na Kilimanjaro.
Hahahhahaha!!!! 'Wapigakura' wanasikiliza 'sera' kwa makini sana, japo wanaonekana kutokumuelewa mgombea!
Muulizeni wa kwenu, yeye anakula sato tu kanda ya ziwa kwengine vp?Jamaa hana mahali pengine pa kwenda??
😆😆😆Muulizeni wa kwenu, yeye anakula sato tu kanda ya ziwa kwengine vp?
Hizi picha za kutengeza ndio huwa zinafanya mgombea wetu asiamini matokeo ya mwisho. Tuweke picha za ukweli kwa maufaa ya chama chetu. Sio kuonyesha mafuriko alafu tunapata kura mil 1.Leo tena Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 anazidi kusonga mbele na kampeni zake za kuwaomba wananchi wamchague kwa kura nyingi mno ili aweze kuleta Uhuru kamili .
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
View attachment 1570337
========
UPDATES
Njombe MjiniView attachment 1570470View attachment 1570471View attachment 1570473View attachment 1570472