Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,380
Wakuu leo tena yule Mgombea Urais pekee wa Tanzania asiye na kashfa yoyote ile anaendelea kuchanja mbuga kwenye mikoa ya Rukwa na Katavi , ambapo itapigwa mikutano minne na mkutano wa Mwisho utapigwa jioni kabisa Mpanda Mjini .
Kwa Taarifa za uhakika kuhusu kampeni za Tundu Lissu endelea kubaki hapahapa JF
========
UPDATES
Jimbo la Kwela na Nkasi Kaskazini
Picha za Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Lissu, katika Uwanja wa Kashato, Mpanda Mjini, Mkoa wa Katavi, ukiwa mkutano wa 3 kwa siku ya leo, Ijumaa, Septemba 18, 2020, baada ya
Chala (Nkasi Kusini) na Kilando (Nkasi Kaskazini), mkoani Rukwa.
Kwa Taarifa za uhakika kuhusu kampeni za Tundu Lissu endelea kubaki hapahapa JF
========
UPDATES
Jimbo la Kwela na Nkasi Kaskazini
Picha za Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Lissu, katika Uwanja wa Kashato, Mpanda Mjini, Mkoa wa Katavi, ukiwa mkutano wa 3 kwa siku ya leo, Ijumaa, Septemba 18, 2020, baada ya
Chala (Nkasi Kusini) na Kilando (Nkasi Kaskazini), mkoani Rukwa.