Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Baraza la Uongozi la (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini linaketi leo Novemba 30, 2019 Jijini Arusha, Kufanya Uchaguzi wa Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Mwekahazina.
Wagombea nafasi ya Uenyekiti kanda ya Kaskazini Kuna Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema na Mbunge wa Jimbo la Rombo Joseph Selasini.
.......Updates.
Tayari baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wameshawasili ukumbini kwa ajili maandalizi kufanya uchaguzi.
Tayari Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe Freeman Mbowe pamoja na wagombea wamefika ukumbuni.
Matokeo Kanda ya Kaskazini
1.Mwenyekiti
Godbless Lema - 78 (Mshindi)
Joseph selathini - 23
2.Makamu Mwenyekiti
Yosepha Komba 76
Bahweje- 23
Emmanuel-5
Japhary - 1
3.Mwekahazina
Anna Gideria - 68 (Mshindi)
Prisca Kinabo - 35
Bahati David - 2
Salimu marijani (Alijitoa)
Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Kaskazini Mhe.Halima Mdee ametangaza Matokeo ya Uchaguzi uliofanyika leo Novemba 30, 2019 katika Baraza la Uongozi la 6 lililoketi Jijini Arusha ambapo Mhe.Godbless Lema ametangazwa kuwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti Kanda ya Kaskazini, Mhe.Yosepher Makamu Mwenyekiti pamoja na Mhe.Anna Gidarya Mweka hazina.
Wagombea nafasi ya Uenyekiti kanda ya Kaskazini Kuna Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema na Mbunge wa Jimbo la Rombo Joseph Selasini.
.......Updates.
Tayari baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wameshawasili ukumbini kwa ajili maandalizi kufanya uchaguzi.
Tayari Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe Freeman Mbowe pamoja na wagombea wamefika ukumbuni.
Matokeo Kanda ya Kaskazini
1.Mwenyekiti
Godbless Lema - 78 (Mshindi)
Joseph selathini - 23
2.Makamu Mwenyekiti
Yosepha Komba 76
Bahweje- 23
Emmanuel-5
Japhary - 1
3.Mwekahazina
Anna Gideria - 68 (Mshindi)
Prisca Kinabo - 35
Bahati David - 2
Salimu marijani (Alijitoa)
Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Kaskazini Mhe.Halima Mdee ametangaza Matokeo ya Uchaguzi uliofanyika leo Novemba 30, 2019 katika Baraza la Uongozi la 6 lililoketi Jijini Arusha ambapo Mhe.Godbless Lema ametangazwa kuwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti Kanda ya Kaskazini, Mhe.Yosepher Makamu Mwenyekiti pamoja na Mhe.Anna Gidarya Mweka hazina.