Hii ishu ngumu sana,CCM watachomoka 2015 na hawataamini.
mkuu na hicho ndicho kinacho iogofya sana ccm. Ingawa washabiki wake hawataki kulikubali hilo. Ila kama ufanye kuliarifu taifa kuwa saa mbili usiku rais atazungumza na taifa kupitia tbc1 na hapo hapo useme saa mbili mbowe atazungumza na waandishi wa habari live itv na kuhakikishia 80% wataangalia itv.
mbowe ni msanii tu kama kingwendu anavyoshabikiwa na watu ila kwenye kura hawampi
Mbowe ana ongea kama mtu aliye changanyikiwa na kama wanataka mabadiliko kwenye uchaguzi ujao warudi bungeni kinyume na hapo hakuna mabadiliko nje ya bunge la katiba!
Naache tabia ya kuongea na Rais kama anavyo ongea na Wafanyakazi wake wa Billicanas ni vyema awe na adabu!
Mbowe unatakiwa yeye ndiye kigeugeu na mnafiki mkubwa maana alisema hata chukua gari la KUB lakini hadi leo analo na anapiga nalo starehe hadi Nairobi!
Kama hamtaki rasimu ya Warioba ibadilishwe na kuchambuliwa basi ni bora msirudi kabisa maana hakuna atakaye kubali ujinga huu wa kuigeuza Rasimu bible au msaafu!
Mnatakiwa kujua kuwa tusipo pata katiba mpya basi ya zamani itaendelea kutumika!
Safari hii vitafunwa na chai ya ikulu havitotumika kuwabembeleZa mmezidi deko sana!
.
#reastinpeaceUKAWA .
Hamna jipya upawa
Na hivi katajwa Mbowe ngoja mipepo ya miccm itakavyokuja kuharisha hapa,huku mapepo yamewapanda kichwani.
Mbowe ana ongea kama mtu aliye changanyikiwa na kama wanataka mabadiliko kwenye uchaguzi ujao warudi bungeni kinyume na hapo hakuna mabadiliko nje ya bunge la katiba!
Naache tabia ya kuongea na Rais kama anavyo ongea na Wafanyakazi wake wa Billicanas ni vyema awe na adabu!
Mbowe unatakiwa yeye ndiye kigeugeu na mnafiki mkubwa maana alisema hata chukua gari la KUB lakini hadi leo analo na anapiga nalo starehe hadi Nairobi!
Kama hamtaki rasimu ya Warioba ibadilishwe na kuchambuliwa basi ni bora msirudi kabisa maana hakuna atakaye kubali ujinga huu wa kuigeuza Rasimu bible au msaafu!
Mnatakiwa kujua kuwa tusipo pata katiba mpya basi ya zamani itaendelea kutumika!
Safari hii vitafunwa na chai ya ikulu havitotumika kuwabembeleZa mmezidi deko sana!
#reastinpeaceUKAWA .
MBOWE siyo mtu wa kawaida japo watu tunapenda ushabiki wa kisiasa tu,anasikilizwa sana na raia
mpaka wabunge wake wa viti maalum wanamsikiliza sana
Kwa kuuanzisha mchakato huu,
CCM wanajilaumu sana!! kulikuwa hakuna haja ya kukijeruhi chama namna
hii wakati hakukuwa na shinikizo lolote na wala swala hili halikuwapo
kwenye ilani iliyowaweka madarakani 2010.
Hii ngoma si ya kitoto, wakicheza vibaya tu ndiyo basi tena kuelekea
2015.
Mbowe ana ongea kama mtu aliye changanyikiwa na kama wanataka mabadiliko kwenye uchaguzi ujao warudi bungeni kinyume na hapo hakuna mabadiliko nje ya bunge la katiba!
Naache tabia ya kuongea na Rais kama anavyo ongea na Wafanyakazi wake wa Billicanas ni vyema awe na adabu!
Mbowe unatakiwa yeye ndiye kigeugeu na mnafiki mkubwa maana alisema hata chukua gari la KUB lakini hadi leo analo na anapiga nalo starehe hadi Nairobi!
Kama hamtaki rasimu ya Warioba ibadilishwe na kuchambuliwa basi ni bora msirudi kabisa maana hakuna atakaye kubali ujinga huu wa kuigeuza Rasimu bible au msaafu!
Mnatakiwa kujua kuwa tusipo pata katiba mpya basi ya zamani itaendelea kutumika!
Safari hii vitafunwa na chai ya ikulu havitotumika kuwabembeleZa mmezidi deko sana!
#reastinpeaceUKAWA .