Yanayojiri katika Mkutano wa CHADEMA Iringa...

Sasa hivi mheshimiwa Msigwa anaongea. Anaongelea bajeti iliyosomwa na Mh. Mgimwa kwamba haina unafuu wowote wa kumwinua mtanzania.
 
CHADEMA MOTO MOTO IRINGA. Mheshimiwa msigwa amefunguka zaidi. Anasema matatizo hayawezi kutatuliwa kwa njia ile ile iliyoleta hayo matatizo. CCM kazi yake ni propaganda tu. Nape jana amewadanganya walimu akakaa nao ukumbini kuwadanganya. Mtu mkubwa tu WA CCM ANAVUA GAMBA. Mzee Mwachulla na familia yake yote wamerudisha kadi. Wamevua gamba na wanavaa gwanda. Huyu Mwachula aligombea ubunge Iringa mjini. Mwanajeshi mmoja amesema yupo tayari kufa na atitumikia chadema. Ameongea live jukwaani.
 
Leo CHADEMA wapo irina. Muda huu mkutano ndo unaanza. Tunaye kamanda Tundu Lissu, kamanda Mnyika, Halima Mdee, dogo Nassari na wengine wengi.
Ninachoona sasa CCM haina kitu Iringa.

Ina maana hawa makamanda hawapo bungeni ?
 
Watu wanajivua gamba now:Mh.Zuberi Mwachula ambae alikuwa mgombea ubunge CCM iringa amerudisha kadi ya CCM,Pia mwanajeshi mmoja ameamua kukiri wazi kuwa hakipendi chama cha mapinduzi,walimu nao hawapo nyuma wameamua kuzungumza mbele ya mbunge kwamba wamechoshwa na ahadi za uongo za CCM.
 
vipi wali maharagwe vipo hapo kama wanavyofanya nyumba ya jirani?,vipi kuhusiana na akina temba,chege dogo aslay na wengineo vipi wapo hapo?
 
Mwananchi mmoja anamtuma msigwa akamwulize mgimwa sababu ya kufuta kodi kwa wafanyabiashara wanaoingiza zaidi ya Tsh. 3000000 wakati walimu wanaolipwa Tsh. 1500000 kwa mwaka wanalipa kodi
 
Hapa hakuna wali wala fedha,watu wamekuja wenyewe!wakuu mniwie radhi ninaendelea kutafuta namna nzuri ya kutuma picha,mitambo yangu inasumbua kidogo.
 
Wananchi wapo shuleni. Zitto kawaingiza darasani. Watu wanaendelea kupata darasa na wanaendelea kushangaa sana.
 
Picha plz! Ni mhimu sana kwani tunataka kuona real image ya hapo. Tafadhali sn kamanda fanya mpango.

CHADEMA FOR REAL UNTIL 2015
 
Mwananchi mmoja anamtuma msigwa akamwulize mgimwa sababu ya kufuta kodi kwa wafanyabiashara wanaoingiza zaidi ya Tsh. 3000000 wakati walimu wanaolipwa Tsh. 1500000 kwa mwaka wanalipa kodi
mweee sikuwa aware kabisaaa inaaana mfanyakazi anayelipwa 200,000 kwa mwezi = 200,000x12 = 2,400,000 kwa mwaka analipa kodi wakati mfanyabiashara anayepata 3000000 kwa mwaka halipi kodi....ngoja nipigwe ban potelea pote.
 
Back
Top Bottom