Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,406
- 31,387
"
JF walishauri na hoja ikawa, nini kinachoshindikana ikiwa mtu binafsi anaweza kuwa na media?
Kushindwa kuwa na media siku za nyuma kunazaa tatizo jingine.
Katika zama hizi ambazo Taasisi za umma zimegeuka kuwa 'matawi ya chama chenye dola'' kwa mujibu wa kauli za Katibu mkuu wa CCM, Dr A.Bushiru, sijui media inaweza kutangaza zaidi ya saa 24 kabla katibu mkuu wa CCM hajaiagiza TCRA kufanya yake.Maria Sarungi anaweza kuwa shahidi wa hili.
Arguably,ni chombo halali kwa mujibu wa sheria. Kuwa chombo halali hakuifanyi NEC kuwa huru.
Kuna tofauti ya kuwa chombo huru na chombo halali. Unachozungumzia ni chombo halali kwa mujibu wa sheria.
Kutamkwa kikatiba kwa NEC kuwa chombo huru hakuifanyi NEC iwe huru.
Chief justice Heart alisema ''Not only justice must be done, but also seen done''
Msingi wa hoja hiyo ni kuwa sheria itendwe na kuonekana imetendwa bila kuacha chembe ya shaka.
Kwamba kusiwe na mazingira yanayotiliwa shaka na mtoaji wa haki ambaye ni ''Hakimu''
Maana yake ,NEC kuwa huru ni sehemu tu ya ''mtoa justice'' lakini uwepo wa mashaka juu ya uhuru wa tume unafanya 'ipoteze uhalali .Kuna mifano mingi ya kutilia shaka kuhusu NEC isiyopingika
1. NEC inateuliwa na mgombea wa CCM. Kwamba 'refa' wa mchezo wa Yanga na Simba anachaguliwa na Yanga. Tuliona Kikwete akibadilisha wajumbe wiki moja kabla ya uchaguzi.
2. Matukio kama ya kufutwa wagombea , mbinu za Wakurugenzi kjificha kupokea fomu uyaliyopelekea mauti ya Aqulina hayakukemewa na NEC kwasababu kuna ''collusion' na kwamba NEC ni tawi la chama tawala
3. Sanduku la kura la NEC linachukuliwa na Wahuni kisha kurudishwa, NEC na Polisi wakiwa wanatazama.
4. Muulize Maalim Seif na Jecha aliybanwa tumbo la kuhara kisha kupona akiwa TV Zanzibar
Ukiororedhesha makosa ya NEC ya mkusudi, hata mtu aliye kijijini anajua hii si tume huru kwa namna yoyote.
Hivi utashinda vipi ikiwa CCM wana Polisi, NEC, Usalama ,Wakurugenzi, DC n.k?
Hivi hili linahitaji certificate kulibaini ukweli huu. Nani anaweza kushindwa akiwa na msaada huo!
UVCCM wanasema ''fulani auawe'' hadharani, lini umemsikia Msajili wa vyama!
Msajili hawezi kukemea UVCCM halafu unatagemea utashinda uchaguzi!
Uchaguzi wa serikali za mitaa ulionyesha nini kinafuata.
Kama kutakuwa na Wapinzani 3 bungeni, hao ni Lipumba, Mbatia na mwingine kutoka chama cha mfukoni.
Kwenda katika uchaguzi kwa NEC iliyopo ni kwenda kuhalalisha matokeo ya 99%
Na kwa kujua shinikizo la kimataifa , kususia uchaguzi kunatisha, sasa wanaitwa mmoja mmoja kivyake.
Hakuna uchaguzi , watu wasijidanganye. Bushiru Ally, Katibu mkuu wa CCM kasema wazi wao wanamsaada wa vyombo vya dola, hivi mnahitaji nani azungumze muamini?
tindo JokaKuu
Ni makosa yaliyofanywa kuanzia enzi za Dr Slaa.Pascal Mayalla, post: 34594309, member: 17813"]kitendo cha kukubali Chadema kutokuwa na media yake ni kosa kubwa la kiufundi, kutambua tuu hili ni plus, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa.
JF walishauri na hoja ikawa, nini kinachoshindikana ikiwa mtu binafsi anaweza kuwa na media?
Kushindwa kuwa na media siku za nyuma kunazaa tatizo jingine.
Katika zama hizi ambazo Taasisi za umma zimegeuka kuwa 'matawi ya chama chenye dola'' kwa mujibu wa kauli za Katibu mkuu wa CCM, Dr A.Bushiru, sijui media inaweza kutangaza zaidi ya saa 24 kabla katibu mkuu wa CCM hajaiagiza TCRA kufanya yake.Maria Sarungi anaweza kuwa shahidi wa hili.
NEC si tume huru kwa vigezo vyovyote vile vya kitaifa na kimataifa.NEC ni Tume huru ila sio Shirikishi. Kwa mujibu wa katiba na sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi, ni Tume huru, independent, ila sio Shirikishi in a sense that watendaji wote wanaweza kuwa ni makada hivyo kufumbia macho huu uwanja tenge wa ushindani wa kusiasa usio ushindani wa haki.
Arguably,ni chombo halali kwa mujibu wa sheria. Kuwa chombo halali hakuifanyi NEC kuwa huru.
Kuna tofauti ya kuwa chombo huru na chombo halali. Unachozungumzia ni chombo halali kwa mujibu wa sheria.
Kutamkwa kikatiba kwa NEC kuwa chombo huru hakuifanyi NEC iwe huru.
Chief justice Heart alisema ''Not only justice must be done, but also seen done''
Msingi wa hoja hiyo ni kuwa sheria itendwe na kuonekana imetendwa bila kuacha chembe ya shaka.
Kwamba kusiwe na mazingira yanayotiliwa shaka na mtoaji wa haki ambaye ni ''Hakimu''
Maana yake ,NEC kuwa huru ni sehemu tu ya ''mtoa justice'' lakini uwepo wa mashaka juu ya uhuru wa tume unafanya 'ipoteze uhalali .Kuna mifano mingi ya kutilia shaka kuhusu NEC isiyopingika
1. NEC inateuliwa na mgombea wa CCM. Kwamba 'refa' wa mchezo wa Yanga na Simba anachaguliwa na Yanga. Tuliona Kikwete akibadilisha wajumbe wiki moja kabla ya uchaguzi.
2. Matukio kama ya kufutwa wagombea , mbinu za Wakurugenzi kjificha kupokea fomu uyaliyopelekea mauti ya Aqulina hayakukemewa na NEC kwasababu kuna ''collusion' na kwamba NEC ni tawi la chama tawala
3. Sanduku la kura la NEC linachukuliwa na Wahuni kisha kurudishwa, NEC na Polisi wakiwa wanatazama.
4. Muulize Maalim Seif na Jecha aliybanwa tumbo la kuhara kisha kupona akiwa TV Zanzibar
Ukiororedhesha makosa ya NEC ya mkusudi, hata mtu aliye kijijini anajua hii si tume huru kwa namna yoyote.
Ndiyo maana nashwashanga akina Mbatia wanaokwenda kusimika Wagombea.The political playground is not level, uchaguzi wetu ni mechi ya kugombea kisu cha makali kuwili, huku mgombea mmoja ameshika kwenye mpini akionyeshea kwenye makali ndipo waanze kuvutana.
Hivi utashinda vipi ikiwa CCM wana Polisi, NEC, Usalama ,Wakurugenzi, DC n.k?
Hivi hili linahitaji certificate kulibaini ukweli huu. Nani anaweza kushindwa akiwa na msaada huo!
UVCCM wanasema ''fulani auawe'' hadharani, lini umemsikia Msajili wa vyama!
Msajili hawezi kukemea UVCCM halafu unatagemea utashinda uchaguzi!
Halafu wanatafutwa kutiwa pingu kila siku.Imefika wakati DC anaamua Wapinzani waongee nini katika mikutano.Tunaingia kwenye uchaguzi Mkuu huru na wa haki huku chama kimoja ni chama dola, kina Tume, wasimamizi, polisi, jeshi, huku mgombea mmoja akizunguka kufanya kampeni kwa ving'ora, supported by state machinery, state cars, state media, state resources, akishindana na mgombea mwingine mwenye nothing!, halafu huyu mwenye nothing ategemee kushinda?!, angalau kama huyu mgombea with nothing angekuwa ame invest on people!, but he is not!, unategemea nini?, bora wanaojitambua, waacheni tuu waende!.
Uchaguzi wa serikali za mitaa ulionyesha nini kinafuata.
Kama kutakuwa na Wapinzani 3 bungeni, hao ni Lipumba, Mbatia na mwingine kutoka chama cha mfukoni.
Kwenda katika uchaguzi kwa NEC iliyopo ni kwenda kuhalalisha matokeo ya 99%
Na kwa kujua shinikizo la kimataifa , kususia uchaguzi kunatisha, sasa wanaitwa mmoja mmoja kivyake.
Hakuna uchaguzi , watu wasijidanganye. Bushiru Ally, Katibu mkuu wa CCM kasema wazi wao wanamsaada wa vyombo vya dola, hivi mnahitaji nani azungumze muamini?
tindo JokaKuu