Yanayojiri EU na Unabii wa Sanamu ya Nebukadneza

Jamani ni mtizamo wangu.... uuuuuwwwwiiiii, simlazimishi mtu kuamini. Amini unachokiamini, usitokwe povu bureeee!!!!


#Period
 
tafuta habari wewe pekeyako ndio hujui!
Huu ndio upunguani wa hali ya juu kabisa...Umeandika post kimtuhumu papa ku-support ushoga...Mimi kukuuliza ni lini au wapi haimaanishi kuwa sifuatili....

Sasa wewe ningekuona wa maana zaidi kama ungenipa source au ni lini na wapi alionesha ku-support huo ushoga...
 
Hekaya za Ellen G White.....

Hivi kweli inamaana hujui sababu za UK kujitoa EU...Punguzeni kudanganyana kwenye lessoni..

Acha na wewe kudanganya watu unajifanya unajua kumbe la hasha, UK (united kingdom) nani alikuambia imejitoa EU? Unaifaham Uk wewe?
 
w
Habari za jioni wana jamvi,

Mimi sio mwandishi mzuri, ila ninachokiona, kusikia na kutizama duniani ni dhahiri kwamba Unabii wa Daniel sura ya 2 unatimia.

Wakristo wengi wanakifahamu kitabu cha Daniel hasa sura ya pili nzima inaongelea nini... Kwa kifupi nanukuu mistari hii kisha connect dots utaelewa.

Daniel 2:41 Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope. 2:42 Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika. 2:43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

Kwa atakayeona haina mantiki apite tu. Ni mtazamo wangu binafsi.

CL
wewe utakuwa msabato wewe wasabato hakuna kitabu mnakipenda kaama Daniel na hiyo sanamu mmeishikia bango weee kwa tafsiri zenu potofu
 
Kumbe hizi verses/doctrine ni za mtu siyo za ....
9ffa66b7e25e7b181ca6a8671069899d.jpg
We unafikiri Miller na kundi lake kina Ellena walitumia nini kutabiri mwisho wa dunia uliopelekea kua maelfu ya watu...??
 
ladha ya uzi, inakata na kupotea kwa spidi ya Cheater.
Jukwaa la intellijensia vitu vijadiliwe kiintelijensia.
wengine wameona ni kama sehemu ya kutoa madukuduku yao.
 
Mambo ya unabii wa Daniel yalishatokea zamani za mfalme Nero... Wala hayatakuwepo tena.. tutafiti maandiko na historia ya dini kwa umakini mkubwa..
 
Namshukuru Mungu,mipango ya kishetani ya kufanya dunia iwe na serikali moja na sarafu moja chini ya shetani(new world order) inaenda kushindwa kama ilivyoanza na ifuatavyo
 
Ww mleta mada kaongerea EGW au Daniel 2 kama huna cha kuchangia kwa nn usikae kimya khaaa!

Yes, based on unabii wa EGW. Je wamfahamu huyu mama?
Kihistoria kaishia darasa la nne. Baadaye kaandika vitabu vingi sana kwa kutumia nguvu za ....
 
Habari za jioni wana jamvi,

Mimi sio mwandishi mzuri, ila ninachokiona, kusikia na kutizama duniani ni dhahiri kwamba Unabii wa Daniel sura ya 2 unatimia.

Wakristo wengi wanakifahamu kitabu cha Daniel hasa sura ya pili nzima inaongelea nini... Kwa kifupi nanukuu mistari hii kisha connect dots utaelewa.

Daniel 2:41 Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope. 2:42 Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika. 2:43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

Kwa atakayeona haina mantiki apite tu. Ni mtazamo wangu binafsi.

CL
it's true sis watajaribu kuchanganyika lakini hataweza!
 
Mambo ya unabii wa Daniel yalishatokea zamani za mfalme Nero... Wala hayatakuwepo tena.. tutafiti maandiko na historia ya dini kwa umakini mkubwa..

Sasa mbona yesu hakurudi katika hiko kipindi cha Nero???
Unadanganywa yachunguze maandiko!
 
Back
Top Bottom