CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #41
Jamani ni mtizamo wangu.... uuuuuwwwwiiiii, simlazimishi mtu kuamini. Amini unachokiamini, usitokwe povu bureeee!!!!
#Period
#Period
Ni ufahamu unaotizama mambo nje ya ulimwengu uonekanao(visible) bali huangalia zaidi katika ulimwengu usioonekana (invisible realm)Ufahamu wa kiroho upi huo..??
Ni kweli kabisa
Huu ndio upunguani wa hali ya juu kabisa...Umeandika post kimtuhumu papa ku-support ushoga...Mimi kukuuliza ni lini au wapi haimaanishi kuwa sifuatili....tafuta habari wewe pekeyako ndio hujui!
Wewe unayejua hebu tujuze..?? Halafu siyo holiness ni His Holiness....mnamwita holiness hivi mnajua hata maana ya holly?
Hekaya za Ellen G White.....
Hivi kweli inamaana hujui sababu za UK kujitoa EU...Punguzeni kudanganyana kwenye lessoni..
wewe utakuwa msabato wewe wasabato hakuna kitabu mnakipenda kaama Daniel na hiyo sanamu mmeishikia bango weee kwa tafsiri zenu potofuHabari za jioni wana jamvi,
Mimi sio mwandishi mzuri, ila ninachokiona, kusikia na kutizama duniani ni dhahiri kwamba Unabii wa Daniel sura ya 2 unatimia.
Wakristo wengi wanakifahamu kitabu cha Daniel hasa sura ya pili nzima inaongelea nini... Kwa kifupi nanukuu mistari hii kisha connect dots utaelewa.
Daniel 2:41 Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope. 2:42 Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika. 2:43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.
Kwa atakayeona haina mantiki apite tu. Ni mtazamo wangu binafsi.
CL
We unafikiri Miller na kundi lake kina Ellena walitumia nini kutabiri mwisho wa dunia uliopelekea kua maelfu ya watu...??Kumbe hizi verses/doctrine ni za mtu siyo za ....
Nenda tena kakae chini ujifunze maana ya UK halafu uje hapa.Acha na wewe kudanganya watu unajifanya unajua kumbe la hasha, UK (united kingdom) nani alikuambia imejitoa EU? Unaifaham Uk wewe?
Ww mleta mada kaongerea EGW au Daniel 2 kama huna cha kuchangia kwa nn usikae kimya khaaa!
Ww mleta mada kaongerea EGW au Daniel 2 kama huna cha kuchangia kwa nn usikae kimya khaaa!
Apocalyptic tales.Hivi unajua dhima ya vitabu hivi vyenye masimulizi ya ki-epokaliptiki....?? Unajua chimbuko lake..? Au unabwabwaja tu hapa...
it's true sis watajaribu kuchanganyika lakini hataweza!Habari za jioni wana jamvi,
Mimi sio mwandishi mzuri, ila ninachokiona, kusikia na kutizama duniani ni dhahiri kwamba Unabii wa Daniel sura ya 2 unatimia.
Wakristo wengi wanakifahamu kitabu cha Daniel hasa sura ya pili nzima inaongelea nini... Kwa kifupi nanukuu mistari hii kisha connect dots utaelewa.
Daniel 2:41 Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope. 2:42 Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika. 2:43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.
Kwa atakayeona haina mantiki apite tu. Ni mtazamo wangu binafsi.
CL
Mambo ya unabii wa Daniel yalishatokea zamani za mfalme Nero... Wala hayatakuwepo tena.. tutafiti maandiko na historia ya dini kwa umakini mkubwa..
issue sio sababu bali walijaribu kuchangamana lakini wameshindwaIssue ya UK kujitoa EU mbona wala haina uhusiano wowote na hizo hadithi unazooanisha??
UK waliweka sababu zao wazi kabisa
Mi mwenyewe hizo dots nimeshindwa kuunganisha aiseeIssue ya UK kujitoa EU mbona wala haina uhusiano wowote na hizo hadithi unazooanisha??
UK waliweka sababu zao wazi kabisa