figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
Sasa ndo Anna Makinda anaingia kuongoza kikao cha 20 mkutano wa 15 bunge la 10. Hati za kuwasilishwa mezani ni makadilio ya bajeti ya wizara ya utamaduni na michezo pamoja na wizara ya nishati na madini kwa mwaka 2014-2015.
Kinachoendelea sasa ni maswali na majibu.
Karibuni twende pamoja. mia
Kinachoendelea sasa ni maswali na majibu.
Karibuni twende pamoja. mia