PM Mtarajiwa Hana makundi. Na ni kio ngozi mahiri asiyekuwa na uccm wala ucdm na Mh JPM anataka kulifanya taiga kuwa moja. Ila namsilitikia Mh Nape alitegemea Sana kuwa PM. Mpeni pole.
Duh.......hapo ss, sijui utendaji wake huko Tamisemi ila huku si ndio kila wakati kunalalamikiwa ubadhirifu wa hela serikali za mitaa.
Watanzania hatueleweki, akimchagua makamba ni remote control, na sasa kamchagua kassem na kwa sababu ametokea Lindi mnasema ni remote control.
Huyu waziri sidhani kama ataperform asee,,,mtu yupo kama hayupo,itabidi rais ndo afanye kazi za waziri mkuu
PM Mtarajiwa Hana makundi. Na ni kio ngozi mahiri asiyekuwa na uccm wala ucdm na Mh JPM anataka kulifanya taiga kuwa moja. Ila namsilitikia Mh Nape alitegemea Sana kuwa PM. Mpeni pole.
Huyu waziri sidhani kama ataperform asee,,,mtu yupo kama hayupo,itabidi rais ndo afanye kazi za waziri mkuu
Huyu waziri sidhani kama ataperform asee,,,mtu yupo kama hayupo,itabidi rais ndo afanye kazi za waziri mkuu
mimi naomba mnieleweshe wakuu na Zanzibar kuna pm wao
yap uko sawa! huyu ingawa simjui ila hata tofautiana na PINDA