Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Haijalishi...matusi yenu mnayofundishwaga makanisani na kwenye taasisi za kidini kama CDM nimeshayazoea!Rejao kikwetu ni nguruwe
Haijalishi...matusi yenu mnayofundishwaga makanisani na kwenye taasisi za kidini kama CDM nimeshayazoea!Rejao kikwetu ni nguruwe
Hii ya hapa Arumeru itakuwa fundisho kwa hawa mafisadi!
Hapo Arumeru Mashariki siyo Igunga!
Wamezoea sana!
Ikiwa CCM inataka kujipima kisiasa vizuri basi ni lazima iache wizi ili ione hali ikoje. Ni dhahiri Arumeru kutachimbika.
formation ni kama iliyotumika arusha mjini tunapanda pamoja tunashuka pamoja tunakomaaanao katikati kamanda lema anahitajika pande hizo na ushindi lazima
Tunaomba tena mkapa ni wa kuanika kabisa kutokana na siri ya kugawa viwanda vilivyokuwa vinawanufaisha watanzania. Yaani huyu jamaa katurudisha nyuma sana. Huyu EL alishtuka akanunua vile viwanda kwa kutumia watu leo hii anamwaga hela kama mvua. Hizo pesa alizipata wapi wakati viongozi walitumikia serikali tunawaona.Nitashangaa CDM wakishindwa uchaguzi huu kwa namna yeyote! Kwanza Mgombea ubunge wa CCM hajazoea mikiki ya siasa kama wa CDM na hata uwezo wa kujenga hoja zilizokomaa Nassari ni mzoefu.Pili Mkapa anaekwenda kumpigia debe Sioyi ana kashfa lukuki kama Chadema wakianza mapema kuanika yote tena bila Aibu Mkapa atanywea,Tatu tycoon wa uchaguzi wa Arumeru ni EL ambaye na yeye hasafishiki na uozo wake ukianikwa vizuri kwisha kabisa.Siyoi hawezi kushinda bila akina EL hivyo ukitaka mifugo watawanyike piga mchungaji wao! Tatizo la CDM siku hizi toka wadanganywe kuwa eti hawana lingine zaidi ya ufisadi nao kelele zimepungua hadi Mkapa na El wanapata ujasiri wa kupambana nao majukwaani! Akina Dr Slaa,Lisu,Mbowe,Mnyika,Zitto,Mdee na wengine waumbueni hasa hao mafisadi hadi wakimbie huku mkiwaeleza wana Arumeru mtawafanyia nini!! Narudia tena Chadema mkishindwa Arumeru hata kama mtaibiwa kura mchana kweupe ndio Kifo rasmi cha upinzani kukamata dola! Ni wajibu wenu kudhibiti kila hila kwa mbinu zote! Nawatakia kheri!
Tunaomba tena mkapa ni wa kuanika kabisa kutokana na siri ya kugawa viwanda vilivyokuwa vinawanufaisha watanzania. Yaani huyu jamaa katurudisha nyuma sana. Huyu EL alishtuka akanunua vile viwanda kwa kutumia watu leo hii anamwaga hela kama mvua. Hizo pesa alizipata wapi wakati viongozi walitumikia serikali tunawaona.