Mji wa wa Arusha ni mji ambao kuna wahamiaji wengi haramu wa Kisomali. Kwa sasa wasomali ni wengi sana mpaka hata wengine hawajui kiswahili lkn wanajitambulisha kuwa ni Watanzania. Wasomali wengi wamekuwa wakifikia kwenye familia ya watu wenye asili ya Somalia na hujificha mda mrefu wakijifunza lugha ya Kiswahili. Ikumbukwe kuwa wingi wa wasomali wanaoishi Kenya ndio sababu kuu ya ugaidi ambao hufanywa na Alshabab. Sehemu kubwa ambazo wasomali wengi hupenda kuishi ni Arusha mjini Pamoja na Ngaramtoni ya juu ambayo ndio kituo cha kufikia kabla ya kutafutiwa makazi ya kudumu. Tunaiomba Serikali ifanye msako hapa Arusha ili iweze kujikinga na madhara ambayo yanweza kuikumba Nchi baadae. Waswahili siku zote husema kinga ni bora kuliko tiba. Nimefanya utafiti wa kina sana na naamini Serikali itachukua hatua za haraka.