Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
nitajie sheria iliyokiukwa hapoAjira hata ikiwa ya miezi 6 lazma ifuate sheria za kazi ikiwemo kutoa mikataba.Mbona kuna kampuni zingine humu zinatoa ajira za muda mfupi na mkataba unapewa?
nitajie sheria iliyokiukwa hapoAjira hata ikiwa ya miezi 6 lazma ifuate sheria za kazi ikiwemo kutoa mikataba.Mbona kuna kampuni zingine humu zinatoa ajira za muda mfupi na mkataba unapewa?
Acha kazi. Wanaotaka kulipwa dirishani wataomba kazi hapo.Napenda kulipa na sipo tayari kufanya kazi ya kulipwa dirishani.
Je hao jamaa zako walikuwa mfuko gani wa jamii ni nssf ama ppfNi uongo kwamba eti huwezi kuchukua mafao yako hadi miaka 55 na kuendelea nina ushahidi wa kutosha marafiki zangu mwezi ulopita walifungua mafao yao na wiki iliyopita walipigiwa simu mafao yao yapo tayari na wameshavuta chao.