Kabisa nashangaa kuona lawama anatupiwa mtu mmoja, wakati hata yeye alikua anahangaika sana kuyaondoa haya matatizo..Wakulaumiwa ni wale wote waliohusika na ufisadi huu na sio hayati Magufuli tu ndo atupiwe lawama zote
Ajiuzuru kwa lipi? Hakuna sehemu inayonyesha yeye kahusika na huo ufisadi . Muacheni mama apige kazi, tutam judge kuanzia sasa.Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?
Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
Angejiuzulu basi.ulitaka ambishie boss wake hata kama hataki?
Urais ni taasisi ndugu yangu kwani makosa aliyosema CAG ni makosa ya kitaasisi hivyo Samia Na watendaji wote wanatakiwa kujiuzuruNakwambia hivi..alielea haya madude kashaenda.
Hesabu kuanzia siku aliyoapishwa Samia ukiona madudu shinikiza ajiuzulu.
Ungekua wewe ungefanya hivyo ?Kama alishauri kwa jambo zito kama hilo na hakusikilizwa,mbona hakujiuzulu?
Kwani wewe hatari gani unayozungumzia? Hata kama CCM itatoka madarakani hiyo ndio hatari?Habari zenu ndugu zang watanzania mliopo humu. Ndugu zang nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana yanayoendelea nchini, hasa kuhusu tuhuma za ufisadi zinazoelekezwa kwa aliyekuwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati John P Magufuli.
Najua na inajulikana wazi tu kwamba tokea tulipopata uhuru mpaka leo hakuna awamu ambayo haikufanya madudu iwe madogo madogo au makubwa.
Kila serikali iliyoingia madarakani ilifanya mazuri na mabaya pia kwahiyo hili ni jambo la kawaida kwa tawala zote zilizopita kuanzia mwaka 1961 mpk 2020.
Kinachosikitisha ni kuona kila ufisadi au kila jambo baya lililofanyika, au lililofanywa na kiongozi au mtu yoyote aliekuwa katika serikali ya awamu ya tano lawama zote anabebeshwa hayati Magufuli.
Tunafaham kwamb kuna mamb mengi ya kimaendeleo na mazuri lkn watu kadhaa sijui kwa maslahi au faida ya nani wameamua kumchafua.
Na kwa vile mtu akishafariki hawezi kujitetea kwa shutuma zote zinazoelekezwa kwake iwe za kweli au za uongo, sasa sisi tulio hai tutaendelea kumtetea ili kufuta kbs uchafu unaotengenezwa kwa ajili yake.
Najua hata na yeye alikuwa binadamu kwa hiyo kukosea ni jambo la kawaida lkn asibebeshwe makosa na matatizo mengine ambayo hakuyafanya kwa masilahi ya kundi la watu fulani.
Najua kwa sasa wanaomchafua ambao baadhi yao wapo ndani ya CCM na wanaona fahari sana hayati Magufuli kuchafuliwa ili ionekane kwamba yeye na Serikali yake hawajafanya chochote lkn wakumbuke kuwa huyo wanaemsema ameshakwenda zake, sasa kazi kubwa imebaki kwao walio hai.
Mwaka 2025 unakuja wamejipangaje kupangua hoja za wapinzani wa CCM na serikali kwa ujumla kuhusu ufisadi huo unaoongelewa sasa hivi?
Basi endelea kupiga kelele mkuuUrais ni taasisi ndugu yangu kwani makosa aliyosema CAG ni makosa ya kitaasisi hivyo Samia Na watendaji wote wanatakiwa kujiuzuru
We ng'ombe wa kinesi muache mama aongoze nchi meko alikua anataka kusikiliza ushauri ? Nyie mataga si ndio mlikua washauri wake shindwa katika jina la Yesu na ulegee kama meko katutesa vile na tumemvumilia Hata mama mumvumilie hivohivo muishinae kama tulivo ishi na mwenda zake au mmeyakosa maslahi yenu binafsi ndio mwaanza kumshambulia mama wa watu kisa ni mwanamke ninasema haikubaliki mama tuongoze mama asiependa afe amfate mungu ake aliekua akimuabuduKwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?
Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
Kama angekuwa hai angejitetea vipi?..Hesabu zina lakujitetea?
Sasa wasiwasi wako nini?Kumbuka raisi Samia alikuwa makamu wa raisi ktk serikali hiyo inayosemekana kuwa ilifanya ufisadi mkubwa, waziri mkuu pia na bila kuwasahau baadhi ya mawaziri ambao pia wapo ktk serikali hii mpya ya mama Samia.
kiwa shutuma hizi zitaendelea na hao niliowataja hapo hawatojiuzulu nyazifa zao serikalini, basi 2025 CCM ijiandae kwa anguko kubwa, japo wengi hawalioni hili
hivi wewe ni kiazi au? CAG ASSAD alipo uliza trillion 1.5 hazijulikan ziko wap nae alikuwa anamchafua hayati au watu wengine mnakera sana yani mnashangaa billions za KICHELE mme sahau trillions za assadHabari zenu ndugu zang watanzania mliopo humu. Ndugu zang nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana yanayoendelea nchini, hasa kuhusu tuhuma za ufisadi zinazoelekezwa kwa aliyekuwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati John P Magufuli.
Najua na inajulikana wazi tu kwamba tokea tulipopata uhuru mpaka leo hakuna awamu ambayo haikufanya madudu iwe madogo madogo au makubwa.
Kila serikali iliyoingia madarakani ilifanya mazuri na mabaya pia kwahiyo hili ni jambo la kawaida kwa tawala zote zilizopita kuanzia mwaka 1961 mpk 2020.
Kinachosikitisha ni kuona kila ufisadi au kila jambo baya lililofanyika, au lililofanywa na kiongozi au mtu yoyote aliekuwa katika serikali ya awamu ya tano lawama zote anabebeshwa hayati Magufuli.
Tunafaham kwamb kuna mamb mengi ya kimaendeleo na mazuri lkn watu kadhaa sijui kwa maslahi au faida ya nani wameamua kumchafua.
Na kwa vile mtu akishafariki hawezi kujitetea kwa shutuma zote zinazoelekezwa kwake iwe za kweli au za uongo, sasa sisi tulio hai tutaendelea kumtetea ili kufuta kbs uchafu unaotengenezwa kwa ajili yake.
Najua hata na yeye alikuwa binadamu kwa hiyo kukosea ni jambo la kawaida lkn asibebeshwe makosa na matatizo mengine ambayo hakuyafanya kwa masilahi ya kundi la watu fulani.
Najua kwa sasa wanaomchafua ambao baadhi yao wapo ndani ya CCM na wanaona fahari sana hayati Magufuli kuchafuliwa ili ionekane kwamba yeye na Serikali yake hawajafanya chochote lkn wakumbuke kuwa huyo wanaemsema ameshakwenda zake, sasa kazi kubwa imebaki kwao walio hai.
Mwaka 2025 unakuja wamejipangaje kupangua hoja za wapinzani wa CCM na serikali kwa ujumla kuhusu ufisadi huo unaoongelewa sasa hivi?
Unalea ubinafsiAda ,hela ya kula ,ving'ora ungemlipia wewe? yeye alitimiza wajibu wake tu ,swala la kutekeleza lilikuwa kwa JIWE.
Hoja yako si ya kisomi kabisa mkuuAnza ww kujiuzuru
Magufuli alikuwa jeshi la mtu mmoja na alishasema hapangiwi anaamua mwenyewe na akazuia uhuru wa kuongea.Kabisa nashangaa kuona lawama anatupiwa mtu mmoja, wakati hata yeye alikua anahangaika sana kuyaondoa haya matatizo..
Haya madudu aliyoyataja CAG ...ni zao la kuzuia uhuru wa habari....kwa kufungia Magazeti ya kiuchunguzi.....Ndio kipindi kilipozuka sheria za Ukweli kuuita uchochezi....haya sasa hapa Mchochezi ni nani?