Yanayoendelea sasa hivi nchini ni hatari kwa uhai wa chama kilichopo madarakani na baadhi ya viongozi waliopo Serikalini

Wee unahisi kile kiumbe kilikuwa ni cha kupokea ushauri!! Tena ushauri wa mwanamke?!!
By the way kazi ya kuisimami serikali ni ya bunge. So kale kajama kafupi na chombo anachokisimamia ndio kanatakiwa kawajibike.
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
Ajiuzuru kwa lipi? Hakuna sehemu inayonyesha yeye kahusika na huo ufisadi . Muacheni mama apige kazi, tutam judge kuanzia sasa.

Hayo ya nyuma hayamhusu .
 
Nakwambia hivi..alielea haya madude kashaenda.
Hesabu kuanzia siku aliyoapishwa Samia ukiona madudu shinikiza ajiuzulu.
Urais ni taasisi ndugu yangu kwani makosa aliyosema CAG ni makosa ya kitaasisi hivyo Samia Na watendaji wote wanatakiwa kujiuzuru
 
Habari zenu ndugu zang watanzania mliopo humu. Ndugu zang nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana yanayoendelea nchini, hasa kuhusu tuhuma za ufisadi zinazoelekezwa kwa aliyekuwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati John P Magufuli.

Najua na inajulikana wazi tu kwamba tokea tulipopata uhuru mpaka leo hakuna awamu ambayo haikufanya madudu iwe madogo madogo au makubwa.

Kila serikali iliyoingia madarakani ilifanya mazuri na mabaya pia kwahiyo hili ni jambo la kawaida kwa tawala zote zilizopita kuanzia mwaka 1961 mpk 2020.

Kinachosikitisha ni kuona kila ufisadi au kila jambo baya lililofanyika, au lililofanywa na kiongozi au mtu yoyote aliekuwa katika serikali ya awamu ya tano lawama zote anabebeshwa hayati Magufuli.

Tunafaham kwamb kuna mamb mengi ya kimaendeleo na mazuri lkn watu kadhaa sijui kwa maslahi au faida ya nani wameamua kumchafua.

Na kwa vile mtu akishafariki hawezi kujitetea kwa shutuma zote zinazoelekezwa kwake iwe za kweli au za uongo, sasa sisi tulio hai tutaendelea kumtetea ili kufuta kbs uchafu unaotengenezwa kwa ajili yake.

Najua hata na yeye alikuwa binadamu kwa hiyo kukosea ni jambo la kawaida lkn asibebeshwe makosa na matatizo mengine ambayo hakuyafanya kwa masilahi ya kundi la watu fulani.

Najua kwa sasa wanaomchafua ambao baadhi yao wapo ndani ya CCM na wanaona fahari sana hayati Magufuli kuchafuliwa ili ionekane kwamba yeye na Serikali yake hawajafanya chochote lkn wakumbuke kuwa huyo wanaemsema ameshakwenda zake, sasa kazi kubwa imebaki kwao walio hai.

Mwaka 2025 unakuja wamejipangaje kupangua hoja za wapinzani wa CCM na serikali kwa ujumla kuhusu ufisadi huo unaoongelewa sasa hivi?
Kwani wewe hatari gani unayozungumzia? Hata kama CCM itatoka madarakani hiyo ndio hatari?

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
We ng'ombe wa kinesi muache mama aongoze nchi meko alikua anataka kusikiliza ushauri ? Nyie mataga si ndio mlikua washauri wake shindwa katika jina la Yesu na ulegee kama meko katutesa vile na tumemvumilia Hata mama mumvumilie hivohivo muishinae kama tulivo ishi na mwenda zake au mmeyakosa maslahi yenu binafsi ndio mwaanza kumshambulia mama wa watu kisa ni mwanamke ninasema haikubaliki mama tuongoze mama asiependa afe amfate mungu ake aliekua akimuabudu
 
Kumbuka raisi Samia alikuwa makamu wa raisi ktk serikali hiyo inayosemekana kuwa ilifanya ufisadi mkubwa, waziri mkuu pia na bila kuwasahau baadhi ya mawaziri ambao pia wapo ktk serikali hii mpya ya mama Samia.

kiwa shutuma hizi zitaendelea na hao niliowataja hapo hawatojiuzulu nyazifa zao serikalini, basi 2025 CCM ijiandae kwa anguko kubwa, japo wengi hawalioni hili
Sasa wasiwasi wako nini?

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu ndugu zang watanzania mliopo humu. Ndugu zang nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana yanayoendelea nchini, hasa kuhusu tuhuma za ufisadi zinazoelekezwa kwa aliyekuwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati John P Magufuli.

Najua na inajulikana wazi tu kwamba tokea tulipopata uhuru mpaka leo hakuna awamu ambayo haikufanya madudu iwe madogo madogo au makubwa.

Kila serikali iliyoingia madarakani ilifanya mazuri na mabaya pia kwahiyo hili ni jambo la kawaida kwa tawala zote zilizopita kuanzia mwaka 1961 mpk 2020.

Kinachosikitisha ni kuona kila ufisadi au kila jambo baya lililofanyika, au lililofanywa na kiongozi au mtu yoyote aliekuwa katika serikali ya awamu ya tano lawama zote anabebeshwa hayati Magufuli.

Tunafaham kwamb kuna mamb mengi ya kimaendeleo na mazuri lkn watu kadhaa sijui kwa maslahi au faida ya nani wameamua kumchafua.

Na kwa vile mtu akishafariki hawezi kujitetea kwa shutuma zote zinazoelekezwa kwake iwe za kweli au za uongo, sasa sisi tulio hai tutaendelea kumtetea ili kufuta kbs uchafu unaotengenezwa kwa ajili yake.

Najua hata na yeye alikuwa binadamu kwa hiyo kukosea ni jambo la kawaida lkn asibebeshwe makosa na matatizo mengine ambayo hakuyafanya kwa masilahi ya kundi la watu fulani.

Najua kwa sasa wanaomchafua ambao baadhi yao wapo ndani ya CCM na wanaona fahari sana hayati Magufuli kuchafuliwa ili ionekane kwamba yeye na Serikali yake hawajafanya chochote lkn wakumbuke kuwa huyo wanaemsema ameshakwenda zake, sasa kazi kubwa imebaki kwao walio hai.

Mwaka 2025 unakuja wamejipangaje kupangua hoja za wapinzani wa CCM na serikali kwa ujumla kuhusu ufisadi huo unaoongelewa sasa hivi?
hivi wewe ni kiazi au? CAG ASSAD alipo uliza trillion 1.5 hazijulikan ziko wap nae alikuwa anamchafua hayati au watu wengine mnakera sana yani mnashangaa billions za KICHELE mme sahau trillions za assad
 
Haya madudu aliyoyataja CAG ...ni zao la kuzuia uhuru wa habari....kwa kufungia Magazeti ya kiuchunguzi.....Ndio kipindi kilipozuka sheria za Ukweli kuuita uchochezi....haya sasa hapa Mchochezi ni nani?

Umeshajiuliza nini litakuwa zao la kuendelea kukalia mchakato wa katiba mpya? Kabla ya kupayuka kutamka uhuru wa habaru.

Hamna akili nyie na mikakati yenu ya hovyo ambayo yatokanayo yake yanaenda kumpa wakati mgumu sana Mh SSH kuongoza Taifa hili.
 
Back
Top Bottom