FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,059
- 40,722
Nyie ni cheap labour
Sawa kabisa! Ndiyo maana hata wewe Mwanafunz uliyepita kwenye Mikono yao ni Failure (Wameshindwa kukukwamua)Walimu wengi ni form four failure..hilo halina ubishi
Ushaambiwa mwenye omba hakai foleni what do you expect?Habari ndugu zangu !!
Leo ni Mei mosi hapa Moshi ki ukweli walimu hapa wananishangaza sana. Pamoja na madai yote ambayo hayajalipwa, kutoboreshwa kwa mazingira ya kazi na mambo mengine mengi wamejitokeza kwa wingi wanashangilia tena kwa nguvu zote kana kwamba hakuna matatizo yoyote.
Kwa yanayofanywa hapa sidhani kama kuna mtu anaweza kuwasikiliza walimu kwa malalamiko wanayotoa na watu wataendelea kuamini WALIMU SISI NI CHEAP LABOUR. WALIMU TUTADHARAULIKA MPAKA KESHO ngoja Mei Mosi ipite tutaona tu
Samahani kama kuna watu nitakuwa nimewakwaza
Wapo nimesoma nao udsm pale tena hadi 1:7 miaka ya 2005Hakuna mwalim mwenye Division one
Hakuna mwalim mwenye Division one
Sio lecture ni lecturer! Lecture ni somo au kozi! Na lecturer ni mtu...mkufunzi!
Walimu wengi vyeti haviko poa
Walimu wengi vyeti haviko poa
Hao si ndio shida tupu. Wakipata kauteuzi wanakuwa Bashite. Hata research zao walizopata phd wanazikataa.
Walimu wengi vyeti haviko poa
Walimu wengi vyeti haviko poa
Sijasahau bado mkuuWalimu ni Wito au umesahau Mkuu?
Hivi ukisema unaumwa halafu watu wakakuona unacheza na kupiga kelele nyingi nani atakuamini kama unaumwa ?Sasa ulitaka wanune?au wasiende kwenye maandamano ya May Mosi?na je hapo Ushirika wafanyakazi ni walimu tu,nina wasiwasi kama kweli wewe ni mwalimu sijui ulienda chuo gani,unaleta siasa kwenye mambo yasiyo ya kisiasa,kazi kulalamika tu ,je ufumbuzi wako ni upi
Kwa mawazo kama haya acha tuendelee kutawaliwa na watu wawiliUlitaka wasiende ili iweje?
Mnunie baba mzazi tuone utakula nini
Ni asilimia 10% tu ya watanzania waliyoyaamini maneno na ahadi zilizotolewa jana niamini mmNilijua lile shazi la watu lazima watu wa aina yako uumie roho maana kama huamin amin kilichotokea halaf pale ndio ngome kuu za upinzani,,,,lakin watu wameweka itikadi pemben wanasikiliza mkuu wa nchi akinguruma... Na wamefarijika sana nakushangaa wewe tu
Ukiwauliza wengi wanakuambia hawaamini kama atafanya aliyosema inamaana mei mosi ya jana hukusikia ahadi tamu zilizotolewa na hakuna hata moja iliyotimizwaBaada ya hotuba hii waTz na raia walio wengi watarejea "kundini".