Sasa hii ndio inatakiwa. Tuhuma kwa USHAHIDI WA NYARAKA sio mipasho yakina Msukuma. Tupatie zaidi, jee alifanikiwa? Alipewa zote au sehemu ya maombi?Wako bize kusema Chadema wanajikopesha ruzuku. Leo tunanasa nyaraka kumbe wao ndiyo vinara.
Ubaya wote Duniani makao makuu yake ni CCMKumbe vyama vyote vinakopeshana kama sacosi, duh.Takukuru wako wapi? Hapa huenda hata rushwa ya ngono Nayo ikanukia duh...
TAKOKURU wao wapo bize na Chadema tu!Pauline Gekul nakumbuka ulilalamika kutwezwa utu umehamia CCM sasa mbona walia lia?
Halafu kumbe hata Cecil Mwambe alikuwa na kilio kama hiki kwa spika na aliandika barua ya kuomba unafuu wa deni lake ndipo akaitwa bungeni!
Hii awamu hii
View attachment 1478408
Kigogo ameshaanza yake Twitter Leo amekuja na documents zoteDuh!!Siri zimeanza kuvuja kuelekea uchaguzi mkuu na kuvuja huku ni dalili ya msuguano ndani ya chama kama sio makundi.
Sasa siju katibu mkuu au mwenyekiti huwa anakopa kiasi gani na sijiu nani uwa anakagua maesabu.
Katoa na nyaraka zingine za confidential !!Kigogo ameshaanza yake Twitter Leo amekuja na documents zote