Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,977
- 20,243
Juzi tarehe 26/05/2014 cabinet imekutana kwa "siri" kujadili escrow na leo huenda party caucus ya ccm ikakutana kuhusu escrow. Wabunge wa ccm wamegawanyika. Wengine wanaunga mkono hoja ya kuundwa kamati teule ya bunge kuchunguza na wengine wanashauri kudhibiti suala hili kupitia CAG na PCCB.