Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #21
zito angekuwepo katika bunge la bajeti hii,tungekuwa tunaongea mengine kabisa sasa.
Kwani amekwenda wapi?
zito angekuwepo katika bunge la bajeti hii,tungekuwa tunaongea mengine kabisa sasa.
mkuu nakufananisha na yule waziri wa Iraq aliekua anatoa habaro kuusu vita vinavyoendelea kazi yake ilikua kukanusha kila habari
zito angekuwepo katika bunge la bajeti hii,tungekuwa tunaongea mengine kabisa sasa.
Juzi tarehe 26/05/2014 cabinet imekutana kwa "siri" kujadili escrow na leo huenda party caucus ya ccm ikakutana kuhusu escrow. Wabunge wa ccm wamegawanyika. Wengine wanaunga mkono hoja ya kuundwa kamati teule ya bunge kuchunguza na wengine wanashauri kudhibiti suala hili kupitia CAG na PCCB.
Kwani amekwenda wapi?
Kama imekutana kwa siri wewe umejuaje kama ni kwa siri kwavile umeweza kujua kuwa ni kwa siri tuambie pia wajumbe walioketi kwenye hicho kikao ni nani na nani.
Kama imekutana kwa siri wewe umejuaje kama ni kwa siri kwavile umeweza kujua kuwa ni kwa siri tuambie pia wajumbe walioketi kwenye hicho kikao ni nani na nani.
hili jibu lililokwenda shule kwa hoja za kijinga!Wacha kuleta ushenzi kwa hoja ya za kipumbavu,wale waliogawana hizo pesa za escrow waliitisha mkutano wa hadhara wa kugawana??!! Mbona imejulikana??!!
Mara ngapi CCM wanaitishaga vikao vya siri kwa ajili ya kuzima hoja muhimu zinazohusu maslahi ya umma na uchumi wa Taifa?
Sio kweli Yerico kaleta uchambuzi mzuri sana juu ya Rais Banda Malawi labda kama wewe unachuki binafsiBahati mbaya Yericko Nyerere, Molemo +Tanzania daima hawaaminiki hapa jamvini.
Kuweni makini wasomaji wa story kutoka kwao
Bahati mbaya Yericko Nyerere, Molemo +Tanzania daima hawaaminiki hapa jamvini.
Kuweni makini wasomaji wa story kutoka kwao
Bahati mbaya Yericko Nyerere, Molemo +Tanzania daima hawaaminiki hapa jamvini.
Kuweni makini wasomaji wa story kutoka kwao