Half Genious
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 491
- 784
Binafsi hama hama ya wanasiasa haswa upepo mbaya ukiwa unaelekea upinzani kwa wanasiasa wao wengi kuhamia CCM na wote wana maelezo ya aina moja kumuunga mkono Rais... Tulishapata harufu ya rushwa Arusha juu ya hii hama hama ikazimwa kama taa na hawa wengine wanaendelea kwa mtindo ule ule.
Lakini swala la rushwa ni swala la kificho au kuahidiwa madaraka hiyo ni siri yao na mwisho wa siku ni uhuru wa mtu na demokrasia ukiacha makando kando....nimestuka jana mbunge kujiuzulu na kujiunga na chama kingine naogopa wabunge wangapi watafata siogopi wao kuhama i dont care ILA VIP KUHUSU KODI ZETU KWENYE CHAGUZI ZA MARUDIO BILA SABABU ZA MSINGI?
Wanaosuka hii mipango wanafikiria kweli juzi nimeona Tanga sehemu inaitwa Bombo, kuna shule moja ya miti wamejenga wananchi ina darasa moja na wanachanga kumlipa mwalimu huku watu hawajali kabisa...kodi zetu kodi zetu...kila wizara inashindwa kutekeleza miradi wanalia ufinyu wa bajeti..hakuna nia ya dhati.!
Lakini swala la rushwa ni swala la kificho au kuahidiwa madaraka hiyo ni siri yao na mwisho wa siku ni uhuru wa mtu na demokrasia ukiacha makando kando....nimestuka jana mbunge kujiuzulu na kujiunga na chama kingine naogopa wabunge wangapi watafata siogopi wao kuhama i dont care ILA VIP KUHUSU KODI ZETU KWENYE CHAGUZI ZA MARUDIO BILA SABABU ZA MSINGI?
Wanaosuka hii mipango wanafikiria kweli juzi nimeona Tanga sehemu inaitwa Bombo, kuna shule moja ya miti wamejenga wananchi ina darasa moja na wanachanga kumlipa mwalimu huku watu hawajali kabisa...kodi zetu kodi zetu...kila wizara inashindwa kutekeleza miradi wanalia ufinyu wa bajeti..hakuna nia ya dhati.!