sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Salam wana JF, jamani naomba mnisaidie , kuna mafuta ta kuchua( masaji) hivi ukiyataka yanaitwaje........? je ndio yale pia hutumika ktk suala la ngono (kumlainisha mwenzi wako) akawa anameremeta kama kitumbua ni hayohayo ama hayo ni mengine, je kama ni tofauti hayo nayo yanaitwaje, ? hupatikana sehemu zipi nayahitaji.