Mkuu hao wana network sio station moja kaka.....wana connection radio na tv karibia zote nchin za dar....Umemsahau na Ruge mkuu.Huu ni upuuzi,kwa jinsi teknolojia alivyokuwa sielewi kwanini wasanii bado wanaendelea kuwa nyenyekea hao.Ukizingatia pia radio sio moja inchi hii.
muangalie tunda anavyopata tabu baada ya kutofautiana na tale