amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 907
Kama sio mhalifu kwa nini uogope defender? Je, wewe ni kibaka, mwizi, jambazi, mvuta bangi/madawa ya kulevya au muuza madawa ya kulevya!
Hawa machalii napenda sana nyimbo zao na jinsi wanavyoperform kwenye stage. Lakini hivi vipande vya kuogopa defender katika nyimbo zao vimenishtua kidogo!
Kuna wimbo wanamfananisha dada mmoja malaya kuwa ni wa kuogopwa kama defender. Sasa hivi kweli defender ni ya kuogopwa kwa raia asiye na hatia?
Hawa wakamatwe wachunguzwe, wahojiwe kwa nini wanaogopa sana defender za polisi!
Ni mtazamo tu! Sijui wengine mna maoni gani kwa mtazamo wangu au mtazamo wenu kwa hawa vijana wa Yamoto band katika kuogopa kwao defender!
Hawa machalii napenda sana nyimbo zao na jinsi wanavyoperform kwenye stage. Lakini hivi vipande vya kuogopa defender katika nyimbo zao vimenishtua kidogo!
Kuna wimbo wanamfananisha dada mmoja malaya kuwa ni wa kuogopwa kama defender. Sasa hivi kweli defender ni ya kuogopwa kwa raia asiye na hatia?
Hawa wakamatwe wachunguzwe, wahojiwe kwa nini wanaogopa sana defender za polisi!
Ni mtazamo tu! Sijui wengine mna maoni gani kwa mtazamo wangu au mtazamo wenu kwa hawa vijana wa Yamoto band katika kuogopa kwao defender!