Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,115
- 26,595
PASCO acha ushabiki:
siku nikisikia CHADEMA imeshinda kwenye mikoa inayo matter ki population, elimu, pesa, media na influence (by that I mean MBEYA, IRINGA, MWANZA , ARUSHA ndio ujue CCM safari ya kuondoka imewadia). As long as CCM imejizatizi mikoa hiyo then wataendelea kututawala miaka 100 ijayo
Upo dunia hii mkuu!
Hyo mikoa unajua wabunge waje ni kutoka cdm au ulimaanisha nn?