amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 907
Sijui ntasolve vipi hii kitu ina ushahidi maana nilisahau kwenye mfuko wa suruari nilikuwa nimeivaa jana kwenye kamchepuko. Mbaya zaidi ilibaki moja katika packet ya condom tatu nikasahau kuitupilia mbali.
Alikuwa anaanza kunihoji kuhusiana na hili sakata mara mgeni akaingia, sasa natoka kumsindikiza mgeni ndo narudi home nawaza sijui ntazugaje anielewe.
Kweli mchepuko sio dili. Mwenye uzoefu na hii kitu ambaye ameshawahi kupatwa na mkasa kama huu aniambie alitatua vipi.
Alikuwa anaanza kunihoji kuhusiana na hili sakata mara mgeni akaingia, sasa natoka kumsindikiza mgeni ndo narudi home nawaza sijui ntazugaje anielewe.
Kweli mchepuko sio dili. Mwenye uzoefu na hii kitu ambaye ameshawahi kupatwa na mkasa kama huu aniambie alitatua vipi.