Yamenikuta, wife akuta condom kwenye suruali yangu

amakyasya

JF-Expert Member
Jun 26, 2013
3,480
907
Sijui ntasolve vipi hii kitu ina ushahidi maana nilisahau kwenye mfuko wa suruari nilikuwa nimeivaa jana kwenye kamchepuko. Mbaya zaidi ilibaki moja katika packet ya condom tatu nikasahau kuitupilia mbali.

Alikuwa anaanza kunihoji kuhusiana na hili sakata mara mgeni akaingia, sasa natoka kumsindikiza mgeni ndo narudi home nawaza sijui ntazugaje anielewe.

Kweli mchepuko sio dili. Mwenye uzoefu na hii kitu ambaye ameshawahi kupatwa na mkasa kama huu aniambie alitatua vipi.
 
Dawa ya moto ni moto,mm ningepiga kimya,nikilala nalala na combat,si umeona mkeo hafai wala hakuridhishi ukaona huko nje panafaa zaidi,endelea kupata huko,na yy ajitaftie asali wa moyo,utajutraaaa!ndio ukome
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom