Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,106
- 37,641
mwalimu mkuu anaweza
kufatilia na asichukue hatua stahiki atamlinda mganda mwenzie na badae
huyo mwalimu wa math akaongeza chuki maradufu kwa bintio kama kuna
uwezekano mtoto ahamishwe tu shule
mwalimu mkuu anaweza kufatilia na asichukue hatua stahiki atamlinda mganda mwenzie na badae huyo mwalimu wa math akaongeza chuki maradufu kwa bintio kama kuna uwezekano mtoto ahamishwe tu shule
pole sana... hawa waganda ni mashetani kabisa.
ndio na mm ndo nimemshauri ivo usijifanye eti utafatilia iwe ni fundisho kumbe anamkomoa mwanae.kwan iyo ndo shule tu???
first I envy you slim5 I see you are a good dad bravo,pili hili ni jambo tosha kabisa la kuonya wazazi kuhusu shule za bweni,imagine mwanao ndo angekuwa boarding na anatendewa hayo ungeyajua saa ngapi?no place is safer for our children more than home with their parents!
Mtoto ataijua we huijui tayari??umeona eeeh leo atapigwa na rula kinachofata nani atajua...........
Amehama maximo nini watoto bana...lazimawahamieshule za wastaarabupoole sana ndugu, wakwangu alipigwa na mwalim mmoja wa kiganda, kesho nilimake sure kafukuzwa kazi na nilihamisha mtoto the same day, no masihara na my kids.