Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
summary
hapendi ndugu
hapendi mtoto
kuzaa mpaka operation
kiburi
ushauri
achana nae ( straight fowad)..huyo atasababisha uzee wako uwe wa manung'uniko.....utazeeka vibaya sana ndugu yangu....kwa kuwa ana matatizo ya uzazi alipaswa kukuheshimu wewe na ndugu zako....huyo hakupendi hata kama anakupikia......lol..halafu kamanda kuna mahali huwa unapuuzia maneno ya ndugu zako...najua wazazi wako wameshakwambia.....lakini leo kwa kuwa umeona maji yako shingoni na hii nadhani ni baada ya wewe kukaa mda mrefu bila kwnda ughaibuni....... angalia maisha yako mkuu na huyo mtoto na hizi mali ndizo zinakufanya uogope kuachana nae, jenga hoja mkuu wangu then mwache aende.....
hapendi ndugu
hapendi mtoto
kuzaa mpaka operation
kiburi
ushauri
achana nae ( straight fowad)..huyo atasababisha uzee wako uwe wa manung'uniko.....utazeeka vibaya sana ndugu yangu....kwa kuwa ana matatizo ya uzazi alipaswa kukuheshimu wewe na ndugu zako....huyo hakupendi hata kama anakupikia......lol..halafu kamanda kuna mahali huwa unapuuzia maneno ya ndugu zako...najua wazazi wako wameshakwambia.....lakini leo kwa kuwa umeona maji yako shingoni na hii nadhani ni baada ya wewe kukaa mda mrefu bila kwnda ughaibuni....... angalia maisha yako mkuu na huyo mtoto na hizi mali ndizo zinakufanya uogope kuachana nae, jenga hoja mkuu wangu then mwache aende.....