proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,329
- Thread starter
- #81
Ishu ya dini imekuja kujitokeza baadae sana baada ya kufanya mawasiliano sana ndio akaniambia anashindwa kukubaliana na Mimi kwa sababu ya imani ,ingawa kwangu naona kitu cha kawaida sana ,Ulokole kwa RC wala sio ishu kama mnakubaliana ,na isitoshe yeye anasema kwao yani kanisani wanamuamini sana yaani kama mwl wa dini vile so kama ataingia kwenye mahusiano ya namna hii ni kama kwenda kinyume na kile anachokiamini kwa sababu yeye kakulia kwenye dini na baba yake mpaka amedariki alikua mchungajiTAFUTA WA DINI YAKO. HUYO HATA UKIMSHAWISHI BADO NDOA HAITAKUWA NA AMANI. MAFUNDISHO YA KILOKOLE NA KIROMANI NI MAFUTA NA MAJI.
KWANI HUKO RC HAMNA WANAWAKE HADI ULAZIMISHE KUOA ASIYEKUTAKA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app