Yamenikuta hotelini, nilijua ni bonge la msosi kumbe..!

Kuna jamaa wenzake waliagiza kuku yeye kaagiza KINGFISH,mawazo take alijua kwamba in samaki kubwa sana SNA,kumbe kaletewa NGURU kwenye kibakuli na ugali wake,wenzake wanapiga monofu ya kuku na misamaki ya maana.Jamaa alichukia sana
 
Halafu kiduchuu!
Dah nilijua ni bonge la msosi kumbeee...

HOTEL ZA KITALII BWANA!!!!

Unaenda Kempiski unaona menu imeandikwa:

Sauteed white corn, rare lucy beans, garnished with rift potatoes & topped with organic unprocessed guacamole.

Price: TSH 22,000

Unaagiza! Ukiletewa ndio unagundua kwamba:

Ni makande na parachichi..
 
Aisee tumetofautiana.

Binafsi napenda kujaribu vyakula tofauti.

Hapa Chuga kila weekend kazi yangu kutembela fancy restaurants na kuenjoy food.

Mimi ni vegan kwahiyo nyama au diary product yoyote situmii.

Chinese dishes ndiyo nambari one kwangu.

Kuanzia Fried rice/Steamed rice with vegetables and Tofu

Pac Choi + steamed rice au Nuddles

Mapau Tofu.

Vegetable nuddles.

Vegetable satay + spring rolls

Dip Sums + Tofu + vegetable nuddles.

Siku nataka ni spend less naangilia option ya Combo. Ni cheap kimtindo.

I love food man

Nimejaribu aina nyingi sana ya vyakula nyingine majina nimesahau.
umesahau "hot dog beef"
 
Dah nilijua ni bonge la msosi kumbeee...

HOTEL ZA KITALII BWANA!!!!

Unaenda Kempiski unaona menu imeandikwa:

Sauteed white corn, rare lucy beans, garnished with rift potatoes & topped with organic unprocessed guacamole.

Price: TSH 22,000

Unaagiza! Ukiletewa ndio unagundua kwamba:

Ni makande na parachichi..
Hahaaaaa! Hilo nalo neno!
 
Pole sana yashanikumba hayo sehemu fulani. Hivi sasa sitaki kabisa kusoma menu. Ninachofanya ni kumuita mhudumu na kumwambia lete wali samaki aliyekaangwa,juice fulani, kama ni ugali n.k. Nishawahi kuletewa chakula robo tatu ni ndizi tupu na mimi hapa ni Msukuma.


:D:D:D:D:D
 
Nakula vyakula vinavyotoka ardhini tu.

Sihitaji kuuwa mnyama nile.

Halafu nani kakwambia mambo yawazungu haya?

Ital muhimu kwa afya wewe mla kisusio
wenzako wachina mweee, wanakula hadi nyoka! hata me naonaga nyoka watoka kwa ardhi
 
Dah nilijua ni bonge la msosi kumbeee...

HOTEL ZA KITALII BWANA!!!!

Unaenda Kempiski unaona menu imeandikwa:

Sauteed white corn, rare lucy beans, garnished with rift potatoes & topped with organic unprocessed guacamole.

Price: TSH 22,000

Unaagiza! Ukiletewa ndio unagundua kwamba:

Ni makande na parachichi..
Mmh! Noma.
 
Dah nilijua ni bonge la msosi kumbeee...

HOTEL ZA KITALII BWANA!!!!

Unaenda Kempiski unaona menu imeandikwa:

Sauteed white corn, rare lucy beans, garnished with rift potatoes & topped with organic unprocessed guacamole.

Price: TSH 22,000

Unaagiza! Ukiletewa ndio unagundua kwamba:

Ni makande na parachichi..

Hayo yanatokea sana.Lugha inayoutumika ni tatizo, Ila mara nyingi utokea kwa watu wajuaji.
Kama hujuhi, ni vizuri kuuliza wahudumu ili wakueleze vizuri ni kitu gani na ulinganishe na ulichokuwa unahitaji.
Ukiwa mbishi, hayondiyo matokeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom