Yameanza kutimia: Bandari kavu zalia kukosa mizigo

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,994
144,329
Hiyo ni moja ya habari za kibiashara katika Taarifa ya habari ya ITV saa 2 usiku huu.

Bandari hizo kavu zinafikiria kupunguza wafanyakazi kwani zinashindwa kujiendesha. Kwa mujibu wa Afisa mmoja wa Bandari hizo, Bandari hizo zimeajiri watu takribani 500 huku wengine wakiwa wameajiriwa kwa utaratibu wa ajira za kudumu.

Mizigo iliyopungua katika bandari hizo ni pamoja na magari na bidhaa nyinginezo.

Chanzo:ITV

Hata sisi tusio wachumi tulishatabiri haya kwa kuleta uzi hapa JF tangu mwezi December mwaka jana na tulitoa mpaka suluhisho ila wale vijana wa Lumumba walitubeza sana sasa leo sijui wapinga na hii habari?

Uzi husika huu hapa:

2020 Magufuli atapata kura za vijijini na si mijini

Nasubiri utekelezaji wa Bajeti ya shilingi trilioni 29.5

Pitia hapa pia:

Mzunguko wa hela mtaani umekuwa mdogo, hiyo kodi utakusanya kutoka wapi?
 
Hiyo ni moja ya habari za kibiashara katika Taarifa ya habari ya ITV saa 2 usiku huu.

Bandari hizo kavu zinafikiria kupunguza wafanyakazi kwani zinashindwa kujiendesha.Mizigo iliyopungua katika bandari hizo ni pamoja na magari na bidhaa nyingine.

Chanzo:ITV

Nasubiri utekelezaji wa Bajeti ya shilingi trilioni 29.5

Wanajua kupiga ngoma tu uchwara hawa
 
Jamaa anahubiri njozi za mapinduzi ya viwanda wakati hata mizigo inazidi kupungua bandarini. Yeye ameamua kupambana na wafanyabaishara huku akitegemea wachina kuleta mapinduzi ya viwanda. Mbona hao wachina hawaleti hiyo mizigo bandarini sasa? Nimesikia wafanyakazi karibia mia tano ajira zao ziko mashakani. Kuongoza ni kushirikiana na wenzako na kupata uzoefu, kama hujawahi hata kufanya biashara ya kuuza machungwa huwezi kujua biashara inaendeshwaje, lazima ukae vizuri na wafanyabiashara. Naona tukianguka kwa kasi kiuchumi, hili balaa linaanza kunyemelea lile la Nyerere watu kupanga mistari kupata bidhaa.
 
watajipanga,watapanga bajet zao vizuri,watakuja siku ingine,kwani gharama za utali zmepanda kias gani
Wacha ujinga, kibiashara ukipoteza mteja mmoja kiswain ni sawa umepoteza 10000
Hii awamu yenu ipite aisee mnakurupuka Bila kutathmini mambo sijui ni ukosefu WA bursara ama hekima sugar imeshindikana kushuka bei licha ya mikwala mbuzi tunaanzaje Kuwa Na imani kwa mfano no way
 
Back
Top Bottom